makarani wa sensa wilaya ya ilala kituo cha zawadi secondary wamegoma kula kiapo cha kufanya kazi ya sensa mpaka watakapopewa malipo ya semina ambayo hawajamaliziwa. Hakuna kinachoendelea hapa, ilibidi watu wapewe vifaa leo ila hata vifaa havijaonekana. Sidhani kama kuna sensa hapa, serikali...
kama jinsi ambavyo hawawezi kula rushwa ndivyo hivyo hivyo hawawezi kufanya kazi. Ni wazanzibari wachache wamekuwa viongozi wazuri bara, wengi hamna kitu.
naona kama hii tume ya katiba itakuwa na matumizi makubwa sana. Leo wamekabidhiwa jengo jipya, kubwa lenye kila kitu. Bado gharama za huduma mbali mbali ambazo wameahidiwa. Hii katiba nayo isijekuwa sehemu ya watu kuneemeka kwa ufisadi!!
habari chanel ten, raisi kesho atazindua mwongozo wa vyombo vya habari afrika, so haihusiani na baraza hapo. Wameitwa tu kushiriki. Bussiness as usual, mtangoja milele.
wakati muungano unaasisiwa wananchi hawakushirikishwa. Zilikuwa ni busara tu za viongozi wetu, labda kipindi kile ilionekana watu walikuwa na uelewa mdogo. Muda umepita sasa na watu wana uelewa mkubwa. Ni kwa nini isingepigwa kura ya maoni wananchi tuchague kama tunataka kuendelea na muungano au la?
hebu kuwa serious wewe?? Watu wanakwambia ukweli we unaona wanakuogopa. Umepigwa chini eala huku ndo usijaribu kabisa. Huwezi kushinda hata kampen manager wako akiwa jk.
kutokana na mambo yanavyokwenda bungeni wengi tumeanza kupata hisia huenda pm akang'olewa. Ila tukumbuke wabunge wa ccm ni wale wale wale waliokalishana chini na kuja kupitisha muswada mbovu wa sheria ya katiba. Hawa wabunge ni wanafiki na wlichokuwa wanafanya ni kutaka kuonekana nao ni...
wewe ndio inabidi uwe wa kwanza kupimwa manake iq yako inaweza kuwa sawa na ya kuku. Huwezi kukurupuka tu bila hata ya kujua chanzo nn na kuanza kudharau watu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.