maoniyangu
Member
- Jul 9, 2011
- 53
- 4
kutokana na mambo yanavyokwenda bungeni wengi tumeanza kupata hisia huenda pm akang'olewa. Ila tukumbuke wabunge wa ccm ni wale wale wale waliokalishana chini na kuja kupitisha muswada mbovu wa sheria ya katiba. Hawa wabunge ni wanafiki na wlichokuwa wanafanya ni kutaka kuonekana nao ni wapambanaji. TUSUBIRI TUONE ZITAPATIKANA SAHIHI NGAPI KUTOKA KWA WABUNGE WA CCM.