Hakuna kitu kilichofichwa. Ukisoma nyaraka za Paulo, Petro na Yohana utaona kuwa tangu Kanisa la karne ya kwanza, kuliibuka imani potofu za manabii wa uongo, wakitumia maneno 'roho ya mpinga Kristo'. Hivyo wakati wa kuandika biblia moja, au kukusanya vitabu hasa vile vya Agano la Kale, umakini...