Recent content by mao ze great

  1. mao ze great

    Mke wangu namtongoza upya kila siku

    labda pia anaumia walat wa tendo
  2. mao ze great

    Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

    ivi kumbe siku izi watu wanapenda wasanii na sio miziki yao. sema hupendi miziki ya dimond sio yeye anaweza akawa na skendo lakini bado mzki wake ukawa ni mzur
  3. mao ze great

    Wazazi wa mke wangu wamehamia kwangu kabisa, nyumbani hakukaliki

    kuna wakati inabidi utumie akili kuliko mapenzi (hisia) toa kauli we ndo mwenye nyumba. hamnaga laana ya kusema ukweli. mkeo aki mind aondoke nao akikaa wiki tu kijijini atarudi mwenyewe. usitishiwe na kauli eti unatufukuza. usiendeshwe na akili ya mwanamke
  4. mao ze great

    Mwanaume hataki simu ishikwe pia anachelewa kufika kileleni

    teknolojia ya android inavunja ndoa sana.
  5. mao ze great

    Jirani nimekuchoka

    Piga pull ujiridhishe au nunua redio uweke slow usiku usisilie saut zao
  6. mao ze great

    Badoo inanivunjia uchumba wangu

    umenikbusha badoo. hii apps bana watoto wakali balaa ukiomba namba habani .ila kesho yake mzinga unakuusu .mpige ka 30 iv then usuachie gap baada ya siku 2 mkutane unakula mzigo kiulaini. wengine ni wake za watu. wamama mabint. yaani kule ni playstore ya wanawake wazinzi. mimi apo nimepita na...
  7. mao ze great

    Wadada na Wakaka wengi waliokwenda nje kusoma/kufanya kazi, wanarejea wakiwa hoi

    tatizo sio kukaa nje au bongo bali umeenda uko ukiwa na malengo gani na kama umetimiza unarud. ukitoka bongo huna elimu, huna views zozote za kibiashara unazoenda kufanya, huna mikakati ya ww kwenda ulaya lazma ukawe kituko ulaya na baada ya kurud. my take. nenda nje kwa malengo sio kwenda...
  8. mao ze great

    Nataka kumuacha mke wangu

    Ulioa sura hukuangalia akili na uekewa wa kuchanganua mambo. mwanamke ni zaid ya mwonekano. ana tatizo la kisaikolojia mtaftie washaur lkn pia mfungulie biashara akae atulie
  9. mao ze great

    Uzoefu kwa wanaume ambao hawajaoa

    tumia mdomo vzr badala ya kuhonga utashangaa ww ndo unahongwa. anamchuna jamaake anakuletea. mnakutana na bint unapanga mkutabe maal pagharama ok unaaza kuagiza kuku sijui ma dompo unataka ajuone unazo. sasa unategemea aache kukuchuna.
  10. mao ze great

    Kiwanja tulichonunua kumbe ni cha mpenzi wa zamani wa mke wangu

    Jamaa lazma anakula mzigo. kwann adingekushirikisha toka mwanzo had unagundua mwenyewe. labda pia ao mapacha sio wako bro. soma alama za nyakati jamaa kasogeza familia yake nyingine karibu nayeye.
  11. mao ze great

    Hivi tundu kwenye donati ni la nini?

    nila kupitisha kidole ili ushike donat vizur ukiila uile vzr
  12. mao ze great

    Natafuta mchumba msichana mwenye sifa zifuatazo

    ajajua ili upoge watoti wakali na kipqto cha chini lazma uwe mwongo. hapa chuga kuna fund gerej anagonga wake za watu kwa kuendesha magar ya mabosi baada ya kutengeneza. jioni ananyuka pamba na kutoka nq ma vogy, range, V8 etc ila jamaa geto ana kitanda tu. ila watoto wanajua meneja flan ivi...
  13. mao ze great

    Naiona vita kuu ya Afrika Mashariki na kati ikisogea,Tanzania na alliance yake vs CoW

    sasa ndugu yangu waache watu wafikiri kutokana na hali ya hewa ilivyo ndo maana mtoa mada kafikiri kiundani. hii ndo tofaut ya wazungu na mwafrika. wenzetu mtu akifikiri wanachukua maarifa yake uku tunamponda. sidhani kua kuna mtu anapenda vita. daktar lazma akuulize unasumbuliwa na nn na ni...
  14. mao ze great

    WanaArusha mtaendelea kufa mkiwa vijana, hii ndio sababu

    mleta mada ni zaid ya mchawi. atupe majina ta kampuni kwa mifano na waanzilish walivyotelekezwa. analeta habar za vijiweni apa. leta ushahidi sio porojo. taja baadh ya makampuni na zulma ilivyoenda hapo nitakubaliana na ww. where is your references bro. if no references that mean your...
  15. mao ze great

    Fredwaa anapotea, ajitathimini upya, pesa si kila kitu

    fredwaaa ni bonge ya mtangazaji ever. yeye na milard ayo ndo watangazaji naowakubali. wajaribu kumpa kipind chake ana kipaj na sauti ya kutangaza sana.
Back
Top Bottom