Mke wangu namtongoza upya kila siku

Mke wangu namtongoza upya kila siku

Bwana huyo kama hana maradhi basi kapata bwana na bwana huyu hana mke lakini anapesa ya kufa mtu.Halafu ana mdude huo...wa kufa mtu anachoka sana.
 
Duu uko vizuri,ebu tu jaribu hesabu hii
168 Mara 2 kwa mwaka 336

336@kila mechi goli 3
Kwa mwaka goli 1008
Haya 1008 labda kwa miaka 7 jumla utakuwa na goli 7056

Duuu!

Eeh ebu chukua 7056 toa za jamaa yetu anaye nyimwa unyumba 504 * _: 7056-504 = 6552 mmmh ! Mwambieni akatafute mchepuko huyu

Dah......Noma
 
a kiss for you, huyu kwanza ni mcheza mpira amekariri mechi ni kufunga goli hajui mashabiki pia wanaenjoy zile mbwembwe chenga anakwenda, anakwenda, kapiga kichwa ............ he is no longer romantic in sex ni forward back forward back kama unatwanga mahindi ya makande ya jioni kwakuchelewa,

saa mbili hyo akija haogi, haswaki unanata mwili kama mzinga wa asali unategemea nini.
mwisho kuna kitu umemkera mkeo saaana na hajakwambia ndicho kinaua nasfsi ya maloveww kwako work on it

halafu ungejua mimi ni bishororo usingesema
 
Jifanye jogoo tu, kimbiza, kamata, panda...

Hahahaaaa! Mwl kwakweli huu ushauri hapana, sasa atafukuza miaka yote?!! Kuna tatizo hapo wakae tu wazungumze mayb mkewe hafurahii tendo na mumewe, lile tendo lilivyo tamu alafu ndoa yenyewe bado mbichi kabisa hiyo eti mtu anapiga moja kwa mwezi!!!
 
Hahahaaaa!! Yaani wewe umeua
wakati kuna watu mechi 168 wanacheza ndani ya mwaka mmoja tu..
lakini we atoto utakuwa ile type ya wavivu nna uhakika...
 
Last edited by a moderator:
wakati kuna watu mechi 168 wanacheza ndani ya mwaka mmoja tu..
lakini we atoto utakuwa ile type ya wavivu nna uhakika...

Hahahaaaaa!! Hili tukio nalipenda asikwambie mtu siwezi liletea uvivu aisee.
 
Last edited by a moderator:
walioko kweny ndoa wanatamn kutoka na waliokuwa nje wanatamani kuingia kujionea yaliyopo
 
Hahahaaaa! Mwl kwakweli huu ushauri hapana, sasa atafukuza miaka yote?!! Kuna tatizo hapo wakae tu wazungumze mayb mkewe hafurahii tendo na mumewe, lile tendo lilivyo tamu alafu ndoa yenyewe bado mbichi kabisa hiyo eti mtu anapiga moja kwa mwezi!!!
Sa mtu anakijua kabisa kilichomtoa kwao hadi akaenda kuishi hapo afu anajifanya anabana bana, ndo nini sasa....
 
Umepunguza mambo uliokuwa unamfanyia!! au la umeyaacha kabsa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom