Nataka kumuacha mke wangu

Nataka kumuacha mke wangu

Duuu!!! Movie nyingine za kwenye ndoa zinachekesha sana...sasa ukienda nae kazini ye anafanya nn huko?..ye hana kazi ya kufanya

Acha tu aisee, anatafua sehem anakaa kama ni kikao kikiisha sasa mnarudi hom
 
Pole sana 2006 mpaka 2015 ni almost miaka 9 ila umeshindwa kumcontrol mkeo. Kumbuka tatizo halikimbiwi hata siku moja, tumeambiwa tuishi na wanawake kwa akili sana ukiwa zoba zoba mwanamke atakusumbua sana. Unachotakiwa kumsoma madhaifu yake yote then unaandaa mikakati ya jinsi ya kuishi nae. Umeambiwa ndoa ni taasisi hivyo migogoro haina budi kutokea
 
Ana umri gani?? kuna mwanaume mkubwa huko kijijini nilikuta kaoa kuja kutonywa binti wa miaka 15, some time tunawaonea tu,

2 Children and she has 31yrs. Tena mtoto mmoja yuko STD 3
 
Usimuache,nadhani ni muda sahihi wa kumtafutia kitu cha kumkip busy
 
kaa nae chini umueleweshe kwa upole kabisa maisha yanvyokwenda. hana kosa kubwa la kufikia kuvunja family. angekuwa wa hovyo angekubwaga wakati huna kazi. inaonekana anakupenda sana.

Yeye hata akija rafiki ukimsindikiza ukirudi anataka akague chupi aone kama salama
 
bab-D

paka hapo hakuna amani, amua sasa kama mwanaume, chukua wa mjini...
 
Last edited by a moderator:
Hii chai kama haijakaa vizuri

Hela ya mafuta unapewa wewe yeye ataizuiaje?????

Kuna kitu hakipo sawa

Inafaa na mwenyewe ujichunguze
 
Sawa lakini na wewe uache michepuko..unasema ya mwenzako tu wewe ya kwako husemi..tulizana
 
Ulioa sura hukuangalia akili na uekewa wa kuchanganua mambo. mwanamke ni zaid ya mwonekano.

ana tatizo la kisaikolojia mtaftie washaur lkn pia mfungulie biashara akae atulie
 
Ulishampeleka hospital za vichaa kwa uchunguzi zaid?!kama bado,fanya ivyo.
 
Hii chai kama haijakaa vizuri

Hela ya mafuta unapewa wewe yeye ataizuiaje?????

Kuna kitu hakipo sawa

Inafaa na mwenyewe ujichunguze

SAWA .Ili niende kazin na kurudi na mizunguko yote ktk vituo vyote lazima mafuta ya 10 000 hadi 15 000 kwa siku, hii unakua umeibajeti kwa ratiba yako kwamba siku ngapi kwa mwezi utaenda. kumbuka hii ni hela yako toka kwenye saraly. akikuwahi asubui we hukuti kitu. uki muuliza jibu hakuna. kumbuka ukichukua nyingine unaanza kutoka kwenye bajet
 
Upendejwe kunguni weee... Npatie mkeo pls.

Cha msingi jua huyo anataka akabe had penati yaan chake chake. Sasa wee mwambie kazn ni hv na hv, hvo akusindikize asubuhi na kkfata jion. Mda mwingine mpe majukumu ya kumfanya busy. Mpe mtt alee for example
 
Upendejwe kunguni weee... Npatie mkeo pls.

Cha msingi jua huyo anataka akabe had penati yaan chake chake. Sasa wee mwambie kazn ni hv na hv, hvo akusindikize asubuhi na kkfata jion. Mda mwingine mpe majukumu ya kumfanya busy. Mpe mtt alee for example

fundichupi. una umli gani? we unanitukana kunguni? huna adabu ww mtoto
 
fundichupi. una umli gani? we unanitukana kunguni? huna adabu ww mtoto

Haaaaaaaahhhaaaaaa... Mie sio mtoto. Nmefurahi na mada yako, nimekuita kunguni kwamba hujiongezi ktk maamuzi ww wawaza maamuzi ya kitoto eti unakimbia nyumba, na unashindwaje kumkontroo mkeo!?


Kwan mkishinda wote kazn nan anahudumia watoto!? Alipojifungua bado mliandamana had kazn pako!?
*jiongeze
 
Kama ni kweli pole sana ila vumilia mpe masharti na sheria kali kwa mda wa mwaka mmoja mwendeshe kwa sheria zako usitakazo akishindwa niambie nikuambie cha kufanya
 
bab-D

Hii kitu ni janga hapa duniani,sio wote wako hivyo ila wengi ni pasua kichwa mkuu,listen to your heart mshirikishe Mungu kabla hujafanya maamuzi magumu atakupa muongozo na iko siku moja utasahau hayo mateso.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom