Hivi thiologia ulisomea wapi?au ndo wale kasoma udaktari alafu kazi mhasibu?Kila mtu ana sehemu amebobea kuliko mwingine tuache unafiki!!!!![emoji41][emoji41][emoji41]
Sio rahisi Zanzibar wabinafsi sana lakini pia wanadai wanalinda utambulisho wao kwani wanahofu bara wakinunua kule watajenga na kuzaliana sana na kuwafunika wao.
Kwa lipi Mimi ninaijua Moshi vizuri nimeishi zaidi ya miaka mitano na bukoba wilaya zote nimepita sasa bukoba unailinganisha na hai kivipi ?Kwanza bukoba wamejenga vizuri zaidi vijijini kuliko moshi.danganya wengine.
Bila kubadilisha sheria tulizo nazo hakutakuwa na hicho wanachoita haki sawa.mfano mtoto anatakiwa kupata matunzo na ada zote kutoka kwa baba je mama usawa wake huko wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.