Fahamu chimbuko na asili ya wakazi katika visiwa vya Ukerewe

Buhaya Empire

Senior Member
Aug 3, 2016
116
299
Habari,

Lengo la uzi huu ni kufahamishana historia yetu ambayo katika upande wa makabila imekuwa vigumu sana kuipata kulingana na kukosekana kwaa taarifa za moja kwa moja zilizohifadhiwa kuhusu uwepo wetu (waafrika kiujumla)

Historia hii haina lengo la kubeza wala kuchafua kabila tajwa. Na nina iman ndugu msomaji historia hii wanaoijua ni wachache sana.

Wakerewe ni kabila linalopatikana katika mkoa wa Mwanza (Nyanza). Ikumbukwe kwamba ukelewe ni muunganiko wa visiwa vingi vodogovidogo na si kimoja kama watu wengi wasiofatilia geographia ya nchi wanavofahamu.

Pamoja na kwamba Ukelewe imewekwa katika mipaka ya mkoa wa Mwanza lakini nataka ujue kwamba makabila yanayopatikana wilayani ukerewe yanashabihiana sana na kabila la wahaya wa mkoani Kagera.

Nini kilitokea?

Zamani za kale za mfalme wa Buganda "Kabaka" alitawala maeneo ya uganda ya leo kuja mpaka mkoa wa kagera ukanda wa ziwa Victoria na maeneo ya karibu. Ulikiwa ni moja ya falme zenye nguvu katika ukanda wa Afrika mashariki kabla ya kugawanyika katika koo tofauti hapo baadae.

Kabila la Wahaya lilikuwa ndani ya ufalme huu wa Buganda kabla ya kuwa wahaya wa Tanganyika waliojulikana kutawaliwa na mfalme wao aliyeiitwa Omukama.

Zamani za mfalme kabaka na baadae Omukama kwa wahaya palikuwa na utawala wa sheria iliyosaidia kutoa hukumu kwa makosa mbali mbali.

Sheria ya ufalme huu ilikuwa ni ya kushangazas kidogo..

Wao waliamini katika kuwatenga watu waliokutwa na hatia ya uhujumu wa ustawi wa amani na ushirikiano katika ufalme.

Moja ya mokosa yalioweza kusababisha mtu kutengwa ni pamoja na Uchawi.

Historia ambayo kwa sasa chanzo chale ni kabila la wahaya inasema kuwa watu walitengwa na kupelekwa visiwani na kuachwa pekeyao ikiaminika kwamba watakufa tu kwa kukosa msaada na mahitaji muhimu ya kimaisha.

Adhabu hii mpaka hivi leo kuna baadhi ya jamii za wahaya na hata ukerewe penyewe zinatekelezwa kwa siri kubwa.

Sasa basi.. Wakerewe ni jamii ambayo ilikuwa ni wahanga wa adhabu hii ya kutengwa na baadae wakafanikiwa kustahimili na kuzaliana mpaka leo hii wakati ambapo historia hii haifahamiki tena.

Fikiria jambo hili.. Asilimia 34.7 ya maneno ya kikerewe yanamaana au yanaeleweka kàtika kabila la wahaya.. Yaani katika kila maneno 100 ya kikelewe zaidi 34 yana maana pia katika lugha ya kihaya mengine yakiwa na utofauti wa Lahaja ya kiumbali.

Lakini tafakari pia, uchawi bado ni kosa la aibu na la kificho kikubwa sana katika kabila na jamii yote ya koo za wahaya waliopo Tanzania leo.. Ila ndugu msomaji nataka nikujuze kwamba Huko katika visiwa vya ukerewe uchawi ilikuwa ni sifa na watu waliona fahari kuwa na nguvu za kishirikina waziwazi katika jamii yao. Ni kweli uchawi upo kila sehemu lakini tatizo kubwa ni jamii husika inauchukulia vipi?

Mpaka leo hii Visiwa vya ukelewe vinasifika kanda ya ziwa kwa shughuri za ulozi wa kutisha hii ni kwa sababu wakaazi wake wa mwanzo walitengwa kwa sababu hiyo na swala la uchawi kama kawaida yake likawa ni swala la Urithi.

Nawasilisha.
 
Kasinge waitu
Habari,

Lengo la uzi huu ni kufahamishana historia yetu ambayo katika upande wa makabila imekuwa vigumu sana kuipata kulingana na kukosekana kwaa taarifa za moja kwa moja zilizohifadhiwa kuhusu uwepo wetu (waafrika kiujumla)

Historia hii haina lengo la kubeza wala kuchafua kabila tajwa. Na nina iman ndugu msomaji historia hii wanaoijua ni wachache sana.

Wakelewe ni kabila linalopatikana katika mkoa wa Mwanza (Nyanza). Ikumbukwe kwamba ukelewe ni muunganiko wa visiwa vingi vodogovidogo na si kimoja kama watu wengi wasiofatilia geographia ya nchi wanavofahamu.

Pamoja na kwamba Ukelewe imewekwa katika mipaka ya mkoa wa Mwanza lakini nataka ujue kwamba makabila yanayopatikana wilayani ukelewe yanashabihiana sana na kabila la wahaya wa mkoani Kagera.

Nini kilitokea?

Zamani za kale za mfalme wa Buganda "Kabaka" alitawala maeneo ya uganda ya leo kuja mpaka mkoa wa kagera ukanda wa ziwa Victoria na maeneo ya karibu. Ulikiwa ni moja ya falme zenye nguvu katika ukanda wa Afrika mashariki kabla ya kugawanyika katika koo tofauti hapo baadae.

Kabila la Wahaya lilikuwa ndani ya ufalme huu wa Buganda kabla ya kuwa wahaya wa Tanganyika waliojulikana kutawaliwa na mfalme wao aliyeiitwa Omukama.

Zamani za mfalme kabaka na baadae Omukana kwa wahaya palikuwa na utawala wa sheria iliyosaidia kutoa hukumu kwa makosa mbali mbali.

Sheria ya ufalme huu ilikuwa ni ya kushangazas kidogo..

Wao waliamini katika kuwatenga watu waliokutwa na hatia ya uhujumu wa ustawi wa amani na ushirikiano katika ufalme.

Moja ya mokosa yalioweza kusababisha mtu kutengwa ni pamoja na Uchawi.

Historia ambayo kwa sasa chanzo chale ni kabila la wahaya inasema kuwa watu walitengwa na kupelekwa visiwani na kuachwa pekeyao ikiaminika kwamba watakufa tu kwa kukosa msaada na mahitaji muhimu ya kimaisha.

Adhabu hii mpaka hivi leo kuna baadhi ya jamii za wahaya na hata ukelewe penyewe zinatekelezwa kwa siri kubwa.

Sasa basi.. Wakelewe ni jamii ambayo ilikuwa ni wahanga wa adhabu hii ya kutengwa na baadae wakafanikiwa kustahimili na kuzaliana mpaka leo hii wakati ambapo historia hii haifahamiki tena.

Fikiria jambo hili.. Asilimia 34.7 ya maneno ya kikelewe yanamaana au yanaeleweka kàtika kabila la wahaya.. Yaani katika kila maneno 100 ya kikelewe zaidi 34 yana maana pia katika lugha ya kihaya mengine yakiwa na utofauti wa Lahaja ya kiumbali.

Lakini tafakari pia, uchawi bado ni kosa la aibu na la kificho kikubwa sana katika kabila na jamii yote ya koo za wahaya waliopo Tanzania leo.. Ila ndugu msomaji nataka nikujuze kwamba Huko katika visiwa vya ukelewe uchawi ilikuwa ni sifa na watu waliona fahari kuwa na nguvu za kishirikina waziwazi katika jamii yao. Ni kweli uchawi upo kila sehemu lakini tatizo kubwa ni jamii husika inauchukulia vipi?

Mpaka leo hii Visiwa vya ukelewe vinasifika kanda ya ziwa kwa shughuri za ulozi wa kutisha hii ni kwa sababu wakaazi wake wa mwanzo walitengwa kwa sababu hiyo na swala la uchawi kama kawaida yake likawa ni swala la Urithi.

Nawasilisha.
 
Wakelewe lugha yao Wanashabihiana na Wajita,. Yaani Wakelewe na Wajita wanaongea na Wanaelewana
 
Andika Ukerewe, la sivyo unaonekana mwongo toka kwenye kichwa cha thread.
 
Habari,

Lengo la uzi huu ni kufahamishana historia yetu ambayo katika upande wa makabila imekuwa vigumu sana kuipata kulingana na kukosekana kwaa taarifa za moja kwa moja zilizohifadhiwa kuhusu uwepo wetu (waafrika kiujumla)

Historia hii haina lengo la kubeza wala kuchafua kabila tajwa. Na nina iman ndugu msomaji historia hii wanaoijua ni wachache sana.

Wakerewe ni kabila linalopatikana katika mkoa wa Mwanza (Nyanza). Ikumbukwe kwamba ukelewe ni muunganiko wa visiwa vingi vodogovidogo na si kimoja kama watu wengi wasiofatilia geographia ya nchi wanavofahamu.

Pamoja na kwamba Ukelewe imewekwa katika mipaka ya mkoa wa Mwanza lakini nataka ujue kwamba makabila yanayopatikana wilayani ukerewe yanashabihiana sana na kabila la wahaya wa mkoani Kagera.

Nini kilitokea?

Zamani za kale za mfalme wa Buganda "Kabaka" alitawala maeneo ya uganda ya leo kuja mpaka mkoa wa kagera ukanda wa ziwa Victoria na maeneo ya karibu. Ulikiwa ni moja ya falme zenye nguvu katika ukanda wa Afrika mashariki kabla ya kugawanyika katika koo tofauti hapo baadae.

Kabila la Wahaya lilikuwa ndani ya ufalme huu wa Buganda kabla ya kuwa wahaya wa Tanganyika waliojulikana kutawaliwa na mfalme wao aliyeiitwa Omukama.

Zamani za mfalme kabaka na baadae Omukama kwa wahaya palikuwa na utawala wa sheria iliyosaidia kutoa hukumu kwa makosa mbali mbali.

Sheria ya ufalme huu ilikuwa ni ya kushangazas kidogo..

Wao waliamini katika kuwatenga watu waliokutwa na hatia ya uhujumu wa ustawi wa amani na ushirikiano katika ufalme.

Moja ya mokosa yalioweza kusababisha mtu kutengwa ni pamoja na Uchawi.

Historia ambayo kwa sasa chanzo chale ni kabila la wahaya inasema kuwa watu walitengwa na kupelekwa visiwani na kuachwa pekeyao ikiaminika kwamba watakufa tu kwa kukosa msaada na mahitaji muhimu ya kimaisha.

Adhabu hii mpaka hivi leo kuna baadhi ya jamii za wahaya na hata ukerewe penyewe zinatekelezwa kwa siri kubwa.

Sasa basi.. Wakerewe ni jamii ambayo ilikuwa ni wahanga wa adhabu hii ya kutengwa na baadae wakafanikiwa kustahimili na kuzaliana mpaka leo hii wakati ambapo historia hii haifahamiki tena.

Fikiria jambo hili.. Asilimia 34.7 ya maneno ya kikerewe yanamaana au yanaeleweka kàtika kabila la wahaya.. Yaani katika kila maneno 100 ya kikelewe zaidi 34 yana maana pia katika lugha ya kihaya mengine yakiwa na utofauti wa Lahaja ya kiumbali.

Lakini tafakari pia, uchawi bado ni kosa la aibu na la kificho kikubwa sana katika kabila na jamii yote ya koo za wahaya waliopo Tanzania leo.. Ila ndugu msomaji nataka nikujuze kwamba Huko katika visiwa vya ukerewe uchawi ilikuwa ni sifa na watu waliona fahari kuwa na nguvu za kishirikina waziwazi katika jamii yao. Ni kweli uchawi upo kila sehemu lakini tatizo kubwa ni jamii husika inauchukulia vipi?

Mpaka leo hii Visiwa vya ukelewe vinasifika kanda ya ziwa kwa shughuri za ulozi wa kutisha hii ni kwa sababu wakaazi wake wa mwanzo walitengwa kwa sababu hiyo na swala la uchawi kama kawaida yake likawa ni swala la Urithi.

Nawasilisha.
Uchawi kama kawa na "olusindiko".
 
Mada yako ni nzuri,mimi binafsi nimejifunza kitu lakini unatuchanga mara uandike Ukerewe mara Ukelewe,neno sahihi ni Ukerewe na sio Ukelewe mpendwa.
 
Ukweli ndo huo hasa mabinti waliobeba mimba nyumbani kabla ya kuolewa na vijana waliokamatwa ugoni.
 
Ni makosa kuita utaalamu wetu adimu eti uchawi.....ila mzungu anayeruka na ungo kwenda mwezini eti ni mwanasayansi....hivi miswahili mna nini???? Yego masika! omwozooo!! Mwaongera go?? Chapeni kazi huko uchawi km kawa logalo loga mpaka kieleweke nakuja huko.... kuwa unga mkono tufungue makumbusho ya wachawi tuuu.... TANZANIA NZIMA HAPO NDO PATAKUWA MAKAO MAKUU...HALAFU TUONE WAKUHOJI MOTO HUO.....MUSA ALIPIGA FIMBO YAKE KWENYE JIWE MAJI HAYOOOO.....JE NI UCHAWI ULE
 
Back
Top Bottom