thebogo055
Member
- Jun 22, 2020
- 19
- 176
Habari wana JF.
Kuna jambo nimeona ni share na nyie maana kilichotokea juzi mtaani kwangu ni hatari.
Jamani wanaume wenzangu unapokuwa kwenye mahusiano ambayo yako serious mpaka ukafikia hatua ya kumuweka mtoto wa kike ndani basi usimuache njiani.
Namaanisha mnapokuwa kitandani basi hakikisha mnaponyanduana basi yeye ni muhimu kufika kileleni.
Kuna story nyingi za wanawake utasikia aah nimeenda kwa jamaa nilichokikuta ni aibu yaaani amenichafua tu hakuna lolote.
Turudi kwenye mada, juzi jirani yetu tumemkuta ana simanzi kweli. Katika kuuliza ndio tukapata habari kuwa mwanamke wake kakutwa anatoka na mpaka rangi za kucha mchana kweupeee.
Ukatokea ugomvi, sauti za ukali zikiambatana na matusi kwa bahati nzuri mpaka rangi akafanikiwa kutoka mbio lakini bila vifaa vyake vya kazi.
Maana story ni kuwa jamaa kakutwa kamuinamisha mwanamke sebleni huku suruali ameshusha tu bila kuvua.. wazungu wanaita quick sex.
Sasa katika ugomvi wa jamaa na mwanamke wake ndio bidada akaamua kufunguka kuwa jamaa hamfikishi popote... kila wakifanya jamaa akikojoa yeye basi na mchezo umeisha mwanamke anabaki njia panda.
Mwanamke anasema mwanzo haikuwa hivyo kwa jamaa ila baada ya kuishi wote ndo hali hiyo ikaanza kumtokea jamaa..
Amelalamika sana lakini anajibiwa eti ni uchovu wa kazini ndo mana anafika mapema na hawezi kurudia.
Mara nyingine anamlaumu mwanamke kuwa siku hizi kawa mgumu kufika kileleni kwasababu mawazo yake yapo mbali wakati wa tendo.
Ndio hivyo jamani tuwafikishe watu wetu na kama hatuwezi basi tutafute solution mapema kabla hatujaamua kuwaweka wanawake ndani.
Kuna jambo nimeona ni share na nyie maana kilichotokea juzi mtaani kwangu ni hatari.
Jamani wanaume wenzangu unapokuwa kwenye mahusiano ambayo yako serious mpaka ukafikia hatua ya kumuweka mtoto wa kike ndani basi usimuache njiani.
Namaanisha mnapokuwa kitandani basi hakikisha mnaponyanduana basi yeye ni muhimu kufika kileleni.
Kuna story nyingi za wanawake utasikia aah nimeenda kwa jamaa nilichokikuta ni aibu yaaani amenichafua tu hakuna lolote.
Turudi kwenye mada, juzi jirani yetu tumemkuta ana simanzi kweli. Katika kuuliza ndio tukapata habari kuwa mwanamke wake kakutwa anatoka na mpaka rangi za kucha mchana kweupeee.
Ukatokea ugomvi, sauti za ukali zikiambatana na matusi kwa bahati nzuri mpaka rangi akafanikiwa kutoka mbio lakini bila vifaa vyake vya kazi.
Maana story ni kuwa jamaa kakutwa kamuinamisha mwanamke sebleni huku suruali ameshusha tu bila kuvua.. wazungu wanaita quick sex.
Sasa katika ugomvi wa jamaa na mwanamke wake ndio bidada akaamua kufunguka kuwa jamaa hamfikishi popote... kila wakifanya jamaa akikojoa yeye basi na mchezo umeisha mwanamke anabaki njia panda.
Mwanamke anasema mwanzo haikuwa hivyo kwa jamaa ila baada ya kuishi wote ndo hali hiyo ikaanza kumtokea jamaa..
Amelalamika sana lakini anajibiwa eti ni uchovu wa kazini ndo mana anafika mapema na hawezi kurudia.
Mara nyingine anamlaumu mwanamke kuwa siku hizi kawa mgumu kufika kileleni kwasababu mawazo yake yapo mbali wakati wa tendo.
Ndio hivyo jamani tuwafikishe watu wetu na kama hatuwezi basi tutafute solution mapema kabla hatujaamua kuwaweka wanawake ndani.