Hahahaaa ww sio mkali wa hizi kazi..kwanza siku hizi mtu analiwa hata. Bila kuombwa..yan walali wa hizi kazi huyu anajikuta kaliwa halafu akijiulizq alitongozwa lini hakuna..hahahaaa
Hahahaaa na mm nakuunga mkono mdau kula maisha..watu walisema dunia mapito au dunia njia tunapita tu sasa kama dunia njia kwann ujenge nyumba njiani...ww kula maishaa
Connection zipo sanaa usitake tutaje watu humu ndani mkaanza kutusaka wapo watu wamepata kazi kwakua baba zao au ndugu zao ni wakubwa huko, yuko mtoto flan baba ake ni mkaguzi flan wa mahesabu wizara flan mwanae alipata kazi T.r.a wakati huo walitaka watu wa degree yeye alikua ndio kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.