MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,426
Wakuu msaada kuna hela nilikuwa nimetunza kwa ajili ya kununua kiwanja lakini baada ya kufanya tathmini ya kina nikaona nitakuwa nimwfanya kitu Cha kitoto hasa ikizingatiwa hapa duniani tunapita tu, sisi hapa duniani ni wasafiri.
Msaada nataka kujua Gharama ya kukodi boti hapo mjini kwa ajili ya Bata Kama wanavyofanya watoto wa mjini.
Vp na gharama ya totoz mbili tatu zakunisindikiza, zile ambazo unakuta zimejiachia nguo za ufukweni wakikata mauno , wakiwa wanarukaruka, pia nitahitaji huduma ya Picha professional. Boti liwe kubwa na jeupe. Vinywaji nitamchangia mshikaji wangu huwa anapiga hizo mambo.
Msaada nataka kujua Gharama ya kukodi boti hapo mjini kwa ajili ya Bata Kama wanavyofanya watoto wa mjini.
Vp na gharama ya totoz mbili tatu zakunisindikiza, zile ambazo unakuta zimejiachia nguo za ufukweni wakikata mauno , wakiwa wanarukaruka, pia nitahitaji huduma ya Picha professional. Boti liwe kubwa na jeupe. Vinywaji nitamchangia mshikaji wangu huwa anapiga hizo mambo.