Natembea na mke wa mtu, mume wake kanionya mara 3

Hii hali inakoelekea najiona kabisa nipo ktk msongo wa mawazo maana huyu mwanamke nimeanza kutembea nae tangu mme wake alipoondoka akaenda South Afrika na huu ni mwaka wa tatu sasa. Huwa anakuja na kuondoka ila ajabu ni kuwa sijui mpuuzi gn kamwambia huyu jamaa kuwa huku mke wako mpwayungu village anamtafuna. Sisi ngozi nyeusi niwahovyo sana unaacha kufuata maisha yako kucha kutwa kupeleka umbea na zaidi ya yote hufaidiki chochote.

ONYO la mwisho aliponipa alisema yeye kuwa South Africa haina maana hataki kuwa karibu na Familia ila tu nichangamoto za maisha hivyo yupo huko kutafuta chakula cha watoto ila akija naakakuta bado naendelea na mke wake atakuja kunifanya kitu mbaya Sana.

Nipo katika tafakuri nzito ila uzuri yupo nje ya nchi ingekuwa yupo Singida au Arusha ningeshaachana na mke wake mda mwingi sana kuepuka fedheha ya kufumaniwa ila kunipiga hawezi maana ni mwembamba sana hana mwili.
Nakushauri acha kutembea na vilainishi vya aina yyte kama ni kwenye gari au mfukoni maana nahisi vinaweza tumika kwa ajili yako muda wwte kuanzia sasa
 
mwenye mke kawaida anaweka visasi moyoni, hata kusahau ndugu.
ni kweli mwembamba, akiandaa kikosi kazi chake. mzee unakojolewa vizuri tu
 
Mkuu mbona umekimbilia kifo
Chief, huwa kuna streets rules na sheria za nchi, za nchi ndio ile mtu unasikia kafungwa, kapelekwa police n.k

Sheria za mtaa kwa kesi hizi za wake wa watu maamuzi huwa ni mawili tu,

1. Marinda huwa hayabaki
2. Ndio huko unaposema nimekimbilia

Umenielewa?
 
Achana na mke wa ntu tena mkimbie hasa ndugu utakula mbohoo ya makalio. Kuna K za maana tu kwa Wahaya hapo Mwananyamala ama Faya kuna **** za KIHINDI. Kama kakupa onyo mara 3 nakushauri uhame jiji.
 
Hii hali inakoelekea najiona kabisa nipo ktk msongo wa mawazo maana huyu mwanamke nimeanza kutembea nae tangu mme wake alipoondoka akaenda South Afrika na huu ni mwaka wa tatu sasa. Huwa anakuja na kuondoka ila ajabu ni kuwa sijui mpuuzi gn kamwambia huyu jamaa kuwa huku mke wako mpwayungu village anamtafuna. Sisi ngozi nyeusi niwahovyo sana unaacha kufuata maisha yako kucha kutwa kupeleka umbea na zaidi ya yote hufaidiki chochote.

ONYO la mwisho aliponipa alisema yeye kuwa South Africa haina maana hataki kuwa karibu na Familia ila tu nichangamoto za maisha hivyo yupo huko kutafuta chakula cha watoto ila akija naakakuta bado naendelea na mke wake atakuja kunifanya kitu mbaya Sana.

Nipo katika tafakuri nzito ila uzuri yupo nje ya nchi ingekuwa yupo Singida au Arusha ningeshaachana na mke wake mda mwingi sana kuepuka fedheha ya kufumaniwa ila kunipiga hawezi maana ni mwembamba sana hana mwili.
Unaweza waza amenda nje kumbe yupo bongo anakunyemelea, acha ujinga kula wake za watu, si utafute wako
 
Af ukifilwa uione dunia ngumu ujinyonge au sio? Kazana kumla mke wangu tu
 
Sikuhizi ukijaa kwenye anga za watu wanakuchekecha vizuri firigisi, utumbo, maini, bandana na ugali wa dagaa uliokula vinavurugana humo tumboni alafu wanakuacha unaenda kufia mbele huko. Petrol bei juu
 
Back
Top Bottom