Kama mlikua kwenye ndoa na mama mtoto si sogea tuishi haina haja ya kupima kisheria ni mtoto wako labda wewe mwenyewe umkane (umkatae)
Lkn kama c wandoa nakushauri endelea kumhudumia hiyo ni ihsaani Mola atakubaariki sana.
Kama mlikua kwenye ndoa na mama mtoto si sogea tuishi haina haja ya kupima kisheria ni mtoto wako labda wewe mwenyewe umkane (umkatae)
Lkn kama c wandoa nakushauri endelea kumhudumia hiyo ni ihsaani Mola ata kubaaroki sana
Eeh bhanaee,Kuna stori moja nomesahau heading yake lakin-mpelelezi m1 amekutana na misukosuko alienda nchi jirani kwa uwokozi mara wenzake kuuwawa,daah tafadhali anaye kumbuka....!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.