Recent content by manukiotupu

  1. M

    Mzimu wa kutendwa!

    kaa ukijua usaliti upo tu kwa kila mtu aliye chini ya jua...yaan kama huamin embu anza kuwachunguza watu ambao ww unadhan n waaminifu...ki ukweli no one is to be trusted yaan beta trust yorself coz as i hv experienced... Mmmmh mapenzi ni kuliwazana tu na kupita hivi na hata kama ni ndoa ni kwa...
  2. M

    Amina hadi leo sijajua kilichokufanya unilipe hili

    dah haya bana lakin c umeelewa???
  3. M

    Dada zangu jana hakukuwa na mpiraa wala mechi yoyote!!

    aaaaaaagh mkuu nakuja kuoa kwenu sasa manake ushaniharibia ndoa yangu uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
  4. M

    Ujio wa simu umeharibu manjonjo na utamu wa kutongoza

    hata cku izi dogolangu anasemaga kuwa huwa wanakutania kwenye easter conference
  5. M

    Baby nipo nakuja na taksi na sijalipa, ananidai 20,000

    aseee afu kweliiiii.... Ahhhh ila wao wamezid kwa mizinga aseee yan had mtu unajuta kujua kutongoza sasa
  6. M

    Baby nipo nakuja na taksi na sijalipa, ananidai 20,000

    ayaaaaaa ishantokea hyo afu nami kipindi hicho nna kesi mahakaman lakin naiendesha kwa siri sana kwa hyo nlikua natoa hongo mpaka bodaboda nliokuaga nayo ili kuzima kesi aseee
  7. M

    Shule Nzuri ya Mchepuo wa Sayansi(PCB) Mikoani

    kuna shule ipo arusha inaitwa duluti pale tengeru
  8. M

    Tuwaonee huruma dada zetu,lakini pia wadada msijiachie sana

    da hii inantia xana machungu....pole sana dada yangu eva utaolewa tu mwaka huoooo mungu akipenda
  9. M

    Tukio lako la kusisimua ukiwa mdogo

    aseeeeee kwa hii nmejitahidi kujikausha lakini nmeshindwa asee ilibidi nicheke sana hata mbele ya ma mkwe hadi aibu duh yaani...
  10. M

    Nsaidieni jinsi ya kumwacha huyu

    mpgie simu na umweleze kuwa mmepata tatizo na unahitaj msaada wake hivyo mkutane sehemu...akikubali kukutana nawe mahali... Wewe pshana nae na uelekee nyumbani kukomba kila kitu afu mambo yote bien....tahadhari ni kwamba hakikisha mishe zote ni siri sana.
  11. M

    Sitakaa nimwamini mwanamke maisha mwangu

    naunga mkono hoja hii
Back
Top Bottom