Sanaaaaaa!!!!!!!!
Ni kweli kuwa sasa kutafuta mke wa kuoa au mume ni kazi ngumu pengine sawa kabisa na kutafuta hela,...
Mimi huwa nawaambiaga hawa wazee hapa ofisini kuwa heri wao walioa zamani. Sisi ambao bado tuna kazi ya kumtafuta na kutafuta pesa...yaani ambavyo sijaoa nina majukumu mengi kuliko wao waliooa!!!
Watu wengine wana jema mkuu umpe nini asikutende dawa hapo kama unavyosema kuwa makini na woga tupa kule...then kaicheze ngoma.,
Mimi huwa nawaambiaga hawa wazee hapa ofisini kuwa heri wao walioa zamani. Sisi ambao bado tuna kazi ya kumtafuta na kutafuta pesa...yaani ambavyo sijaoa nina majukumu mengi kuliko wao waliooa!!!
nakumbuka growing up nilikuwa naiingia kwenye relationships with all emotional doors closed kwa kuhofia kutendwa, tatizo lake ni kwamba unadate mademu kibao lakini hakuna anayekujua on a personal level kwa ajili ya mask uliyovaa.
moral of the story nilikuwa kwenye mahusiano,but deep inside I was empty, I changed my ways na I am lovin the new me.
Mmmmmmmmh!
Nadhani mkuu upo kwenye ubongo wangu
Haya mambo mawili yanaisumbua sana akili yangu
Mke na hela ..........
Mambo yote haya mawili yanahitaji muda
Muda ni mchache sana,kuugawa na utoshe kwa yote mawili naona kama haiwezekani
Sijui nifanye nini ...!!
Utaweza kushindia dagaa na kulala chini?
Ujue niko siriazi!