Je mtu aliye pata division 0 anaweza kuwa na elimu ndogo kama ya darasa la saba? Au atafanana na darasa la saba! Kielimu?
Kwangu Mimi Miata minne ya kusoma sec. na kitoka na. Sifur hakuwezi linganishwa na mtu aliye ishia la saba
Umetoa wap pumba!
Kama huna chakueleza watu kaa kimya!
Kama kuna Aliyeona Shoo kaongea sivyo mbona hawakujibu?
Mawazo yako ni bora ukivaki nayo kichwani kwani hayana msaada kwa jamii
Mei Mosi 2019: Wafanyakazi wa Tanzania MTAVUMILIA mpaka lini?
Barua yangu kwa Mfanyakazi wa Tanzania,
Kesho ni Mei Mosi. Kwa niaba ya Wanachama wa Chama Cha ACT Wazalendo natoa salaam za pongezi kwa kazi kubwa ya kujenga nchi ambayo wewe Mfanyakazi wa Tanzania unafanya licha ya mazingira...
Vyanzo vichache vya mapato! Vinavyotumika wakati nchi hii ina mali za kutosha!
Hata uvunjifu wa sheria za usalama barabarani kitu kinachotokana na ukosefu ya elimu husika kwa bongo ni chanzo cha mapato
Pili , wanasiasa kumiliki biashara mbalimbali! Hilo nalo ni tatizo! Control ya bei inakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.