Recent content by Mante

  1. M

    Rais Magufuli afanya mazungumzo na Waziri wa Ulinzi wa Israeli, ashauri iwepo ndege ya kutoka JNIA, KIA hadi Israel

    Tena sasa ivi watanzania wengi wanaenda Israel kujionea mahali mahali Yesu Kristo allipoishi, Pia alikozikwa.
  2. M

    Bodi ya Kimataifa ya Ushauri kwa Bodi ya Wakurugenzi na Watendaji ya Barrick Corporation Group...

    Huo uwaziri wao unahusiana mini na madini yetu?wao wamepewa weupe na nywele za dhahabu.sisi tumepewa dhahabu. Tusitetemeke. Wakachimbe weupe na nywele za dhahabu wauze.sisi tutachimba dhahabu.
  3. M

    Zari The Bosslady kahamia kwa Diamond na watoto wake wote watano?

    Mungu akutangulie Zari.hao watoto bado wadogo.bado wanaitaji mapenzi ya mama.pambana.hakuna kama mama.
  4. M

    DAR: Rais Magufuli amuapisha Bi. Anna Mghwira kuwa RC Kilimanjaro. Akabidhiwa Ilani ya CCM...

    Big ap mama.umesuka kilimanjaro kichwani.unamaanisha unaenda Kilimanjaro.
  5. M

    Tafakari ya kipanya

    Bustan nayo ni kulima.kwani ukikaa bustan inakuja?
  6. M

    Tuache maneno tuweke ushahindi, njaa hii hapa shibe hii hapa

    Uku kwetu babat tulipata mahindi sana.na tumeuza nje ya nchi sana, mbaya atukuweka akiba.Tukisema tuna njaa hakika tutakuwa tunamkufuru Mungu.tuseme sisi ni wajinga!!! Atukujua kesho.naunga mkono hoja akuna njaa tz.
  7. M

    Rais Magufuli: Wakulima pandisheni bei za mazao kadri mtakavyo

    Wanyonge,wanyonge.si wavivu.angalia por lililoko toka segera mpaka chalize,watu awalim nikasema hili por kwanini alikua kwetu kilimanjaro?
  8. M

    Rais Magufuli: Magazeti yanayoandika kuna njaa yamenunuliwa na wanasiasa na wafanyabiashara

    Leo nimekumbuka maneno ya marehem baba yangu.alinambia ivi .omba kila kitu usiombe mahindi,na siku zote usikubali kununua chakula cha kibaba wakati ardhi umepewa na Mungu.
  9. M

    Huyu "mzee bure" aliyetajwa na rais Magufuli ni nani?

    Yaan vitu vya bure.ndivyo nilivyomuelewa
  10. M

    Hotuba za rais wetu magufuli ni tamu sana

    Ni kweli auze.maana ukame aujaletwa na magufuli.amlilie Mungu wake.kwa iyo alitaka mheshimiwa rais amletee mvua? Wasikuchoshe JPM.
  11. M

    Rais Magufuli atembelea ''kijiwe chake'' Chato kuongea na mafundi viatu

    Tena achen apata raha kwao.kama wachaga na kwao.
  12. M

    Nimekoma kuazimisha gari

    Hao ni ushamba wa gari unawsumbua. Gari!! Ni roho iyo? Acheni ushamba.we ulizaliwa nalo? Umetafuta ukapata nae iko siku atapa. Si wachaga atunaga hizo.gar unampa rafik yako na likiaribika unatengeneza na uuliz chochote.hayo ndo maisha.gari! Unajadili gar mpaka unalifananisha na binadam? Wakat...
  13. M

    Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, F. Mramba. Amteua Dkt. Mwinuka kukaimu

    Naunga mkono hoja.kwa nini asipendekeze kwanza kuacha kutoa umeme unit 700 kwa wafanyakaz wa tanesko? Anakimbilia kwa walala hoi?
Back
Top Bottom