Huo uwaziri wao unahusiana mini na madini yetu?wao wamepewa weupe na nywele za dhahabu.sisi tumepewa dhahabu. Tusitetemeke. Wakachimbe weupe na nywele za dhahabu wauze.sisi tutachimba dhahabu.
Leo nimekumbuka maneno ya marehem baba yangu.alinambia ivi .omba kila kitu usiombe mahindi,na siku zote usikubali kununua chakula cha kibaba wakati ardhi umepewa na Mungu.
Hao ni ushamba wa gari unawsumbua. Gari!! Ni roho iyo? Acheni ushamba.we ulizaliwa nalo? Umetafuta ukapata nae iko siku atapa. Si wachaga atunaga hizo.gar unampa rafik yako na likiaribika unatengeneza na uuliz chochote.hayo ndo maisha.gari! Unajadili gar mpaka unalifananisha na binadam? Wakat...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.