Unajua tatizo sio watu hawataki kulima tatizo ni ukame uliosabababishwa na mabadiliko ya tabia nchi sasa kama hakuna mvua yaani maji utalimaje na je mazao yatakubali bila majiEeeeh
Mkalime, mkafanye kazi
Hata awamu zilizopota wa njaa walikuwepo kama kawaida
Watu waache uvivu na kutaka vya burebure