tikatika
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,330
- 4,115
Kuna sintofahamu imetawala, na kuna uhalisia umetupata. Tunashindwa kuwa na kauli moja kama Taifa. Hebu njoon hapa tuweke uhalisia wa hali halisi ya chakula.
Je, kuna njaa au hakuna njaa hapa Tanzania?
Weka ushahidi wa kile unachokiamini hapa baadaye tutapata picha kama njaa ipo au haipo.
Kwa wale walio vijiji au mashambani weken picha za ukame au mazao kukauka.
Kwa wale tulio mijini tuweke bei ya vyakula tuweke na tofauti ya hapo kabla.
Naanza mimi kutoa mfano. Hapa Dar es salaam unga kilo ilikua sh 800 kwa sasa ni sh 1600.
Mchele safi ulikuwa 1600 kwa sasa 2400.
Kwangu mimi hii ndio njaa yenyewe. Maana njaa sio lazma chakula kikosekane sokoni ila ni pale mimi nitakapo kosa uwezo wa kumudu bei maana kipato changu ni kile kile hakijaongezeka. Kwa lugha rahis demand and supply vimegongana. Supply imekua ndogo kuliko demand.
Tukumbuke huko vijijini hutegemea chakula kama ndio hela yao na chakula chao . Akikosa chakula shambani usimwambie kanunue maana amekosa hela iliyokua shambani. Maana hutegemea avune kingine atunze huku kingine auze kwa kupata mahitaji mengine.
Nataraji kwa wale watakao tetea kuwa njaa hakuna wataweka bei za chini na mazao yalio stawi huko mashambani.
Kupitia hapa tutamwonyesha rais wetu uhalisia wa nchi yetu. Maana tukiwasubiri waandishi wa habari anasema wamenunuliwa. Lakn pia hata wao wanaweza kuogopa kulipoti njaa maana hawachelewi kuwaweka ndani.
Karibuni tulijenge taifa letu.
Je, kuna njaa au hakuna njaa hapa Tanzania?
Weka ushahidi wa kile unachokiamini hapa baadaye tutapata picha kama njaa ipo au haipo.
Kwa wale walio vijiji au mashambani weken picha za ukame au mazao kukauka.
Kwa wale tulio mijini tuweke bei ya vyakula tuweke na tofauti ya hapo kabla.
Naanza mimi kutoa mfano. Hapa Dar es salaam unga kilo ilikua sh 800 kwa sasa ni sh 1600.
Mchele safi ulikuwa 1600 kwa sasa 2400.
Kwangu mimi hii ndio njaa yenyewe. Maana njaa sio lazma chakula kikosekane sokoni ila ni pale mimi nitakapo kosa uwezo wa kumudu bei maana kipato changu ni kile kile hakijaongezeka. Kwa lugha rahis demand and supply vimegongana. Supply imekua ndogo kuliko demand.
Tukumbuke huko vijijini hutegemea chakula kama ndio hela yao na chakula chao . Akikosa chakula shambani usimwambie kanunue maana amekosa hela iliyokua shambani. Maana hutegemea avune kingine atunze huku kingine auze kwa kupata mahitaji mengine.
Nataraji kwa wale watakao tetea kuwa njaa hakuna wataweka bei za chini na mazao yalio stawi huko mashambani.
Kupitia hapa tutamwonyesha rais wetu uhalisia wa nchi yetu. Maana tukiwasubiri waandishi wa habari anasema wamenunuliwa. Lakn pia hata wao wanaweza kuogopa kulipoti njaa maana hawachelewi kuwaweka ndani.
Karibuni tulijenge taifa letu.