nilijua mwenye wake wawili humu ni mm tu peke yangu, ila hawa viumbe wanahitaji ubabe sana ndio utaweza kuishi nao vizuri maana ukichekacheka nao hawachelewi kukupangia njama za kukuendesha kama vile wao ndio walio kuoa wewe
waislamu tumeruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja lengo ikiwa ni kupunguza idadi ya wanawake wasio na waume mtaani na kuondosha wimbi la ukahaba kwa sababu inajulikana wazi kua wanaume ni wachache kuliko wanawake
naomba niulize maswali yangu haya matatu:
1-ni vipi mtu anaweza kupata furaha katika maisha yake?
2-umetwambia una mtoto mmoja je unampango wwte wa kuongeza mtoto mwingine?
3- kama utakua hauna mpango je ikifikia hatua mungu kamuhitaji huyo mtoto wako kwa sasa je utaishi maisha ya bila mtoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.