naomba msaada wenu waungwana kuna mwanamke kafanya maajabu,wamepanga kubatiza mtoto na kwakuwa fincial haikuwa vizuri wakatathimini kutengeneza msosi ya wadhamini wa mtoto na washikaji wachache ambao waliambtana nao kutoka church,baada ya mwanamme kuchakalika akapata pesa kidogo ya kukamilisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.