'Msaada: Wananchi Wenye HASIRA KALI", nitawapata wapi hawa watu?

'Msaada: Wananchi Wenye HASIRA KALI", nitawapata wapi hawa watu?

Nenda na gari singida ugonge watakujia fasta.

Mimi sitaki wanidhuru mimi,

Bali mimi niwaongoze wao kwenda kumaliza hasira zao mahali!!
 
Siwaungi mkono hawa jamaa wenye hasira kali.
Iweje mtu ahukumiwe bila kusikilizwa?

kama mabina aliweka kesi mahakamani 15 years na mahakama ikawa kwenye mfuko wake tena wa shati,ulitarajia sisi wenye hasira kali tufanyeje ?
 
Siwaungi mkono hawa jamaa wenye hasira kali.
Iweje mtu ahukumiwe bila kusikilizwa?

kama mabina aliweka kesi mahakamani 15 years na mahakama ikawa kwenye mfuko wake tena wa shati,ulitarajia sisi wenye hasira kali tufanyeje ?
jibu upesi kabla sijachukia
 
Siwaungi mkono hawa jamaa wenye hasira kali.
Iweje mtu ahukumiwe bila kusikilizwa?

Khaa!
Serikali wanashindwa kuadabisha na kusimamisha haki!
Unaona kibaka leo kakuibia, bahati mbaya afande wanamshika kabla ya kumuadabisha, kesho yake kibaka yule yule eti anakuibia tena!
...
Kudadadeki tuchukie tu! Tukishika muhalifu tunachukua summary procedure tunaadabisha!
 
mkuu hao wako wengi tu!! tena siku hizi zinaitwa "MAHAKAMA JAMII" zinatoa hukumu shirikishi.Huna haja ya kutafuta wakili. Hi ni sawa na POLISI JAMII na ulinzi shirikishi!!

Teh teh teh,tena hizi Mahakama Shirikishi mara nyingi zinapatikana kwa yale maeneo yenye watu wa kipato cha Chini.
 
Khaa!
Serikali wanashindwa kuadabisha na kusimamisha haki!
Unaona kibaka leo kakuibia, bahati mbaya afande wanamshika kabla ya kumuadabisha, kesho yake kibaka yule yule eti anakuibia tena!
...
Kudadadeki tuchukie tu! Tukishika muhalifu tunachukua summary procedure tunaadabisha!

Ndugu yangu wengine si wahalifu wanauliwa. Kuna dada alikorofishana mwanamme wake akampigia yoe la mwiziiiiii
Kilichomkuta kaka wawatu ni kipigo nusu kufa. Wenye hasira washaleta petrol na matairi
 
Tunawahitaji sana hao ili wawashughulikie wezi wa kura 2015
 
kama mabina aliweka kesi mahakamani 15 years na mahakama ikawa kwenye mfuko wake tena wa shati,ulitarajia sisi wenye hasira kali tufanyeje ?

Wa kwanza huyu hapa, deal naye atakupeleka na kwa wenzie.
 
Mwizi anaiba kashtakiwa kesho yke katoka na kwenda iba tena,mwekezaji anaua wazawa kisa kapita maeneo yke,mifugo ya waz
 
Inauawa kwakisingzio ktpita hifadhi ya mwekezaji pamj na matukio mengne meng ndyo sabbu ya kupatikan kwa jina la wananch
 
Wenye hasira kali mana kama sheria inayosimamiwa na chombo husika imeshndwa kutenda haki that's just alternative way
 
mkuu hao wako wengi tu!! tena siku hizi zinaitwa "MAHAKAMA JAMII" zinatoa hukumu shirikishi.Huna haja ya kutafuta wakili. Hi ni sawa na POLISI JAMII na ulinzi shirikishi!!


Hahaha Asante. MAHAKAMA JAMII haihitaji upotevu wa muda wala unyenyekevu kwa bwana wakili/hakimu hukumu papo hapo
 
mkuu hao wako wengi tu!! tena siku hizi zinaitwa "MAHAKAMA JAMII" zinatoa hukumu shirikishi.Huna haja ya kutafuta wakili. Hi ni sawa na POLISI JAMII na ulinzi shirikishi!!


Hahaha Asante. MAHAKAMA JAMII haihitaji upotevu wa muda wala unyenyekevu kwa bwana wakili/hakimu hukumu papo hapo

Sasa wapi nitawapata Mkuu wangu?
Kuna mambo mengi sana hayaendi sawa kwa kweli.

Mfano Shuleni watoto wanafeli sababu walimu wanapiga story tu ofisini na kuuza ice cream + ubuyu darasani. Bado namkumbuka Bw. Albert Mnaly, ingefaa hata apewe Uwaziri wa Elimu.
 

Waone chadema wana wanywa gongo wao nafikiri wanahasira kali na vitu vyenye ncha kali hao lazima.
 
mkuu hao wako wengi tu!! tena siku hizi zinaitwa "MAHAKAMA JAMII" zinatoa hukumu shirikishi.Huna haja ya kutafuta wakili. Hi ni sawa na POLISI JAMII na ulinzi shirikishi!! Hahaha Asante. MAHAKAMA JAMII haihitaji upotevu wa muda wala unyenyekevu kwa bwana wakili/hakimu hukumu papo hapo
muwapige 2 maana 2mechoka., aid the tz PM
 
mkuu hao wako wengi tu!! tena siku hizi zinaitwa "MAHAKAMA JAMII" zinatoa hukumu shirikishi.Huna haja ya kutafuta wakili. Hi ni sawa na POLISI JAMII na ulinzi shirikishi!!

NAZIPENDA SANA HIZI MAHAKAMA JAMII,, HAZINA GHARAMA NA HAZIPOTEZI MUDA YAANI HARAKA HARAKA MTU ANAPEWA HUKUMU YAKE.

  • :becky:
    • :becky:



 
Nenda kaibe au kabake mtu ndio utawapata hao raia wenye hasira kali sana.
 
Back
Top Bottom