Je ni kweli mwanamke akimtaka mwanamme...

Je ni kweli mwanamke akimtaka mwanamme...

kichwa cha habari kiko mfumo wa swali ambalo ulitaka ujibiwe...ndani unasema "kwa utafiti mdogo," swali ni: wapi uliufanyia, lini uliufanya, na uliufanya kwa watu wangapi , wenye umri gani?

halafu neno "wanafakiwa" unamaanisha nini vile?
 
ngoja nijipozisheni, labda naweza tongozwa...
 
Yuko wapi wakunitongoza nione kama nitakubali. Nilisoma taarifa flani kule South Africa kuna sehemu sehemu wanaume wanajipanga kama vile machangu doa, wanasubiri wanawake waje kwa service.Mijimama sivyo inavyojitoke kwa wingi loo..
 
Yaani ni noma
Ntawaunga mkono kiasi sababu hata sisi huchoka bwana saazote sisi ndio wakuanza tu!! Hatakama mwanamke amekupenda asilimia 100% we mpaka umwanze tu.Wacha nikae pembeni nisubiri karembo kakunitongoza.
 
Uo utafiti sijui ulifanywa na nani lakini kama una ukweli ndsni yake
 
Ntawaunga mkono kiasi sababu hata sisi huchoka bwana saazote sisi ndio wakuanza tu!! Hatakama mwanamke amekupenda asilimia 100% we mpaka umwanze tu.Wacha nikae pembeni nisubiri karembo kakunitongoza.
Kila la kheri mkuu katika zoezi lako
 
Nakubaliana na wewe 100%. Kama ulishapata kuona reality show ya Friends Zone kinachorushwa MTV ambacho boy/girl anafunguka rasmi kama yuko in love na best friend of different sex ni mara chache sana utakuta mwanaume anamkatalia mwanamke. Lakini almost wanawake wote huwa wanakataa.
 
me me kwangu tofauti ,,,,mademu wote waliowahi nitongoza.....wengne walionyesha ishara ya kunitakataka
niliwakubaliaga nika chapagaa kudadk......
watoto walikuwa watamu sana wale ....na wengne had n w wana mabwanaa zao bt nikiwaita hawachomoi kudadk...........
kwel bw mwanamke akntongoza cwez kataaa meme
ili mrad afikishe viwango
 
Hata hao waliokukubali usifiri ni shujaa wa kutongoza kilichotokea tu ni kwamba waliona kuwa na wewe ni perfect match though hawakujilengesha (walijilengesha kimoyomoyo) na ndio maana demu makini ili akukubali lazima awe mmeonana nae siku mbili tatu na lazima kuna kitu ambacho kimewakutanisha kiasi kwamba akajenga trust kwako unless awe kicheche
 
Anza na mimi
Wewe unamng'ang'ania mtapeana mihadi siku yenyewe ukatoka nduki utakuta mtu mwenyewe sura kama mwajuma ndala ndefu.Demu kaumbwa kutongozwa akikutongoza wewe ujiangalie mara bee.
 
Cjui ln ntatongozwa na hyo cku ndo natangaza ndoa
 
Hata hao waliokukubali usifiri ni shujaa wa kutongoza kilichotokea tu ni kwamba waliona kuwa na wewe ni perfect match though hawakujilengesha (walijilengesha kimoyomoyo) na ndio maana demu makini ili akukubali lazima awe mmeonana nae siku mbili tatu na lazima kuna kitu ambacho kimewakutanisha kiasi kwamba akajenga trust kwako unless awe kicheche


nakubaliana na we we mkuu............hvyo hvyo yaan
kumbe they found love in a hopeless place mzeeeee..............
 
Back
Top Bottom