Recent content by MANOVA

  1. M

    Wasomi elimu isiwapumbaze mnapishana na fursa nyingi

    Tena na spika la singeli...
  2. M

    Maboresho katika sekretarieti ya ajira: Kwanini mtu wa 'degree' asiruhusiwe kuomba kazi za wenye 'diploma'?

    Msisahau swala la kurudia written interview,Wakati ulishapita oral interview,ikiwa ulifeli oral interview basi urudie hatua hiyo.Mpaka pale utakapo ingia Database.Kumbuka nauli za sisi kwenda kwenye mikando ni kubwa mno.
  3. M

    Uzi maalum wa kuwatambua watu wenye ulemavu wa viungo waliofanikiwa ili kuwatia moyo wengine wasikate tamaa

    PamOja sana ndugu yangu,nitafanya hivyo...Nashukuru Kwa kunipa maoni Yako.Barikiwa sana.
  4. M

    Uzi maalum wa kuwatambua watu wenye ulemavu wa viungo waliofanikiwa ili kuwatia moyo wengine wasikate tamaa

    Mimi nilitegemea wangejiongeza ,kitendo Cha mimi kupass written interview na kufika oral kilikuwa ni ushahidi tosha kuwa ninaweza kazi. Wanasomeaga special needs.Wafundisha wenye uhitaji maalumu kama:- viziwi ,vipofu n.k So wanakuwa wanajua Alama zote za wenyewe ulemavu.
  5. M

    Uzi maalum wa kuwatambua watu wenye ulemavu wa viungo waliofanikiwa ili kuwatia moyo wengine wasikate tamaa

    Chuo sikupata Mkopo,licha ya kuomba na kukata rufaa.Wazazi wangu wamepambana hivyo hivyo hadi nikamaliza.Siyo kwamba Wana hela au ni matajiri.walijitoa kwenye hilo wakitegemea nitapa kazi nijitegemee.
  6. M

    Uzi maalum wa kuwatambua watu wenye ulemavu wa viungo waliofanikiwa ili kuwatia moyo wengine wasikate tamaa

    Asante San,siasa nyingi mno kwenye hivyo vitengo, mimi mpaka sasa sijapata hizo nafasi wanazosema wanatoa,licha ya kufika hadi oral interview ya Utumishi (PRSS) .Watu wanatutumia Kupiga hela.Kama vipo mimi nipo hapa wanisaidie...
  7. M

    Uzi maalum wa kuwatambua watu wenye ulemavu wa viungo waliofanikiwa ili kuwatia moyo wengine wasikate tamaa

    Asante sana.Yaani ipo hivi ,ili upate kipaumbele Kwa mwenye ulemavu pindi unapo fika oral interview za Utumishi (PRSS).Inabidi kwenye oral interview upate 50% na zaidi ,isishuke chini ya hapo.Sasa.mimi nilipata chini ya hizo alama ,so wanasema siwezi kupata haki ya Ajira. Kwa mtu mwenye...
  8. M

    Uzi maalum wa kuwatambua watu wenye ulemavu wa viungo waliofanikiwa ili kuwatia moyo wengine wasikate tamaa

    Mimi nina disability ya kusikia,miguu na kutoona mbali Kwa uhalisia.Nimefanikiwa kupata shahada ya kwanza ya Takwimu.Kwenye maisha yangu ya Darasani ,sikuwahi kuandika sababu simsikii lecture Wala kuona ubaoni.Embu fikiria mtu unasoma Pure mathematics, then una hali kama yangu na bado una upass...
  9. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Aisee!Je,wanapataga kwenye placement?
  10. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mzee tulia ,utapata pressure bure .Mwachie Mungu....ila Utumishi (PSRS)popote mlipo ,msiniache kijana wenu.Huko private sector na disability niliyonayo ya kusikia na miguu hawanitaki...macho yote yamebaki kwenu.
  11. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Aisee! Pole sana,tuombe mambo yawe mazuri huko kwenye PDF [emoji1787],ikiwezekana Kila aliyefikia hii oral ya MDAs na LGAs apate kazi.Binafsi Nina disability ya kusikia na miguu [emoji91],sijui kama PSRS watanikumbuka[emoji24][emoji24][emoji24]
  12. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Watabiri wa PDF la MDAs na LGAs mkuje huku....
Back
Top Bottom