Uko sawa kabisa ndugu mana impact aliyonayo mbowe kma Mwenyekiti wa chama na kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni na mbunge wa hai anayo mamlaka inayomsimamia kisheria siyo anamwita kama anaita mkewe amletee maji ya kunywa busara itumike asee mbowe anawatu milioni kadha chini yake kama...
Acheni unafiki mbona mnajisahau neno Bwana ni sawa na neno Mr kwani ni tusi?nyerere alisema viongozi na watawala waitwe Ndugu ili kuondoa miungu watu MF
Ndugu John Pombe Magufuli hii hamuondolei utu wake wala heshima yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.