Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Kina Lowasa walijiunga wakiwa hawana chochote na utajiri wameupatia CCM, sasa CCM wanafanyaje wawe masikini.. Jaribu kumuelewa Polepole... Tunajua siku zote masikini hana sauti, ni mnyonge sasa CCM inataka awo watu wakimbilie CCM, ili kupaza sautiNdo tujue Umaskini unasababishwa na CCM ili watawale watakavyo
tangu lini ccm ikasaidia wanyongeKina Lowasa walijiunga wakiwa hawana chochote na utajiri wameupatia CCM, sasa CCM wanafanyaje wawe masikini.. Jaribu kumuelewa Polepole... Tunajua siku zote masikini hana sauti, ni mnyonge sasa CCM inataka awo watu wakimbilie CCM, ili kupaza sauti
Bashe ni luba wa lowassa chochote kitakachoongelewa kutamkwa au kufanywa hadharani chenye mrengo wa kumgusa lowassa kwa namna moja ama nyingine lazima atapingaBashe ni hazina.kichwa chake kinajua kusimamia msimamo.ukinambia wabunge wenye uwezo ni huyu jembe pia peter msigwa
Chaka la wezi lililokuwa linaongozwa na lowassatangu lini ccm ikasaidia wanyonge
ccm imekuwa ni chaka la wezi na wapiga dili na kamwe haisaidii wanyonge inanyonga wanyonge
Kwa hiyo sera ya CCM ni kuwafanya watu wanyonge na masikini hapana huyu Polepole amesahau kauli mbinu yetu ya chamaView attachment 453635 Ndo tujue Umaskini unasababishwa na CCM ili watawale wataka
Futa kauli yako hyo haraka bashe ni level zingne kabisa ni msema ukwelBashe ni luba wa lowassa chochote kitakachoongelewa kutamkwa au kufanywa hadharani chenye mrengo wa kumgusa lowassa kwa namna moja ama nyingine lazima atapinga
Msema kweli wapi pro lowassa yule nani asiyemjua kile ni kisu cha mkunjo kwa ccm. Kampeni zote za lowassa alikuwa kinara mpk leo wako pamoja.Futa kauli yako hyo haraka bashe ni level zingne kabisa ni msema ukwel
Kimsingi CCM ijiangalie vizuri sana kiitikadi ili iweze kukidhi matakwa ya watu wote.View attachment 453635 Ndo tujue Umaskini unasababishwa na CCM ili watawale wataka
Kwa maana hiyo mtaji wa ccm ni umaskini siyo? Na haitakaa hata siku moja inahakikisha hao watu wanapata sauti yao wenyewe maana wakipata sauti chama hakitakuwepo, siyo? Kwa jinsi yoyote ile ccm inahakikisha watu wanabaki na elimu duni ili majinga yawe mengi muyaburuze mtakavyo. Na mjinga hawezi kuwa na sauti kwasababu haijui kazi ya sauti yake ni nini. Na mjinga hana maarifa ya kuyakabili mazingira na kuboresha maisha yake. Fanyeni hayo lakini mjue Mungu anawaona.Kina Lowasa walijiunga wakiwa hawana chochote na utajiri wameupatia CCM, sasa CCM wanafanyaje wawe masikini.. Jaribu kumuelewa Polepole... Tunajua siku zote masikini hana sauti, ni mnyonge sasa CCM inataka awo watu wakimbilie CCM, ili kupaza sauti