Nilifanyakazi nao sasa mmoja wao tuliyekuwa naye section moja ni ndugu wa supervisor sasa kwavile hajui kiswahili sisi tulikuwa tunapiga story zetu kiswahili tunacheka yeye akawa anahisi tunamsema akawa anaset simu anaturekodi kisha anakwenda kwa secretary kuomba translation.siku moja mmoja wet...
Tulitoka safari ya kikazi from Singida to Dsm sote pamoja tulikuwa kwenye kazi ya pamoja kwenye hotel fulani na tulipoondoka tulikodi Costa .
Tumbo liliana mtu mmoja baadae wa pili kisha bus zima mi kuhara tuu
yule dereva hatutusahau na hayo mazingira tulikopita wanavijiji mtusamehe...
Card yangu ilimezwa ijumaa asubuhi nikiwa katia harakati za kutoa pesa nikalipe ada ya mtoto pale Nmb Ubungo
wale wahudu wawili pale mhuduma kwa mteja walijitahidi kunisaidia kuifutilia card yangu kule ndani bila mafanikio huwezi amnini sikupewa ile card mpaka nimeondoka pale saa tisa jioni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.