Tozo kupitia miamala ya simu ikiendelea itakuja kuigharimu Serikali ya CCM

Koryo2

JF-Expert Member
Nov 28, 2016
2,056
2,515
Wananchi wametoa malalamiko yao kwa Serikali lakini bado kimya, watu wengi wameacha biashara ya miamala ya simu na hii inapelekea familia zao kupata shida, hata malengo ya Serikali yaliyotarajiwa hayatafikiwa kwa sababu watu wengi wameacha kutumia huduma hii. Mfano mimi leo nimetuma Tshs.1m/= nimekatwa Tshs.16,000 na yule niliyemtumia nikaelezwa atakatwa Tshs.14,000. Shillingi 30,000 ni fedha nyingi sana.

Kwa matumizi ya kawaida ni kilo 10 ya sukari au nyama kilo 5, nusu gunia la mahindi, mchele kilo 20 n.k. Kutokana na tozo hii ya miamala kama itazidi kuendelea itakuja kuigharimu Serikali ya CCM kwa sababu itapelekea wananchi kutokuwa na imani na Serikali yao. Mhe. Rais chukua hatua za haraka kuhusiana na tozo hii ya miamala.. Sisi ndo tunakaa huku mitaani wananchi hawana raha kabisa.
 
Serikali haiingii gharama yoyote, atakayeingia gharama ni yule anayetuma na kutoa hela...mkishaizoea itaongezeka maradufu🤣
 
Kwani wewe ulikuwa bado una imani nao tangu 1961?
Kutokana na tozo hii ya miamala kama itazidi kuendelea itakuja kuigharimu Serikali ya CCM kwa sababu itapelekea wananchi kutokuwa na imani na Serikali yao.
 
Mimi sasa wananikamatia kwenye kumtumia mama pesa tu na ni vile hana access ya bank angekuwa nayo wasingenikamata kabisa,nilishangaa jana usiku nilitaka kujiunga kifurushi kupitia M-pesa Tsh 3,000/= tu nikawa hata salio la kutosha sina sijui kwa sababu sijweka pesa muda mrefu au ilikuwepo kidogo wakakata juu kwa juu hata sijafatilia maana line yenyewe napokelea simu tu.
 
Mungu anisamehe Ila huyu mama kiukweli sijui hana hurumaa...daahh.
 
Wananchi wametoa malalamiko yao kwa Serikali lakini bado kimya, watu wengi wameacha biashara ya miamala ya simu na hii inapelekea familia zao kupata shida, hata malengo ya Serikali yaliyotarajiwa hayatafikiwa kwa sababu watu wengi wameacha kutumia huduma hii. Mfano mimi leo nimetuma Tshs.1m/= nimekatwa Tshs.16,000 na yule niliyemtumia nikaelezwa atakatwa Tshs.14,000. Shillingi 30,000 ni fedha nyingi sana.

Kwa matumizi ya kawaida ni kilo 10 ya sukari au nyama kilo 5, nusu gunia la mahindi, mchele kilo 20 n.k. Kutokana na tozo hii ya miamala kama itazidi kuendelea itakuja kuigharimu Serikali ya CCM kwa sababu itapelekea wananchi kutokuwa na imani na Serikali yao. Mhe. Rais chukua hatua za haraka kuhusiana na tozo hii ya miamala.. Sisi ndo tunakaa huku mitaani wananchi hawana raha kabisa.
Kama Kuna mtu hatari Ni Samia. Huyu Ni Hitler type au Idd Amin. Ukatili wa Idd Amin ulikuwa haumithiliki Kama ulivyo wa Samia
 
Unaota wewe tozo hazitakaa zitolewe👇👇

Screenshot_20210807-075127.png


Screenshot_20210807-075210.png
 
Wananchi wametoa malalamiko yao kwa Serikali lakini bado kimya, watu wengi wameacha biashara ya miamala ya simu na hii inapelekea familia zao kupata shida, hata malengo ya Serikali yaliyotarajiwa hayatafikiwa kwa sababu watu wengi wameacha kutumia huduma hii. Mfano mimi leo nimetuma Tshs.1m/= nimekatwa Tshs.16,000 na yule niliyemtumia nikaelezwa atakatwa Tshs.14,000. Shillingi 30,000 ni fedha nyingi sana.

Kwa matumizi ya kawaida ni kilo 10 ya sukari au nyama kilo 5, nusu gunia la mahindi, mchele kilo 20 n.k. Kutokana na tozo hii ya miamala kama itazidi kuendelea itakuja kuigharimu Serikali ya CCM kwa sababu itapelekea wananchi kutokuwa na imani na Serikali yao. Mhe. Rais chukua hatua za haraka kuhusiana na tozo hii ya miamala.. Sisi ndo tunakaa huku mitaani wananchi hawana raha kabisa.
Kwa binadamu wapi hao?labda kizazi cha pili toka sasa, hiki kilichopo hakijitambui, si umemuona leo Mwigulu anaongea kama anawasuta watu, yaani kuwa licha ya kelele nyingi lakini miamala inafanyika!!
 
Wananchi wametoa malalamiko yao kwa Serikali lakini bado kimya, watu wengi wameacha biashara ya miamala ya simu na hii inapelekea familia zao kupata shida, hata malengo ya Serikali yaliyotarajiwa hayatafikiwa kwa sababu watu wengi wameacha kutumia huduma hii. Mfano mimi leo nimetuma Tshs.1m/= nimekatwa Tshs.16,000 na yule niliyemtumia nikaelezwa atakatwa Tshs.14,000. Shillingi 30,000 ni fedha nyingi sana.

Kwa matumizi ya kawaida ni kilo 10 ya sukari au nyama kilo 5, nusu gunia la mahindi, mchele kilo 20 n.k. Kutokana na tozo hii ya miamala kama itazidi kuendelea itakuja kuigharimu Serikali ya CCM kwa sababu itapelekea wananchi kutokuwa na imani na Serikali yao. Mhe. Rais chukua hatua za haraka kuhusiana na tozo hii ya miamala.. Sisi ndo tunakaa huku mitaani wananchi hawana raha kabisa.
Mama amesha sema wananchi meikubali, wamebakia wanaharakati tuuu ndio mnapiga kelelee
 
Back
Top Bottom