Faida kwa mitungi midogo inarange kuanzia 2000-2500 (24500 taifa,Lake unauza 27000) oryx 25500 unabadilisha kwa 28000) kila mteja anapochange mtungi na kwa mitungi mikubwa inafaida ya elf 5000
Hivi kuna mtu alishawahi kuomba PESA yake NSsf kwa njia ya ONLINE na akapata bila kupitia kwa dalali?niliomba ikawa rejected nakoelekea nahisi kutafuta dalali nimpe chake maana sielewi nimekosea wapi
Hiyo inatokana kutostaafu mapema akazoea kitaa akiwa na nguvu anasubiri mpaka 60 ngaaaa..watumishi staafuni mapema.mfanye shughuli zenu za kuwaingizia kipato mkiwa na nguvu ..baada ya hapo ni stress na kuona ushachelewa na hakuna hajja ya kujisumbukia unaishi kusubiri kifoo..kufa hufi mapeema...
Hivi inakuaje mtu anaomba mafao yake kwa njia ya mfumo majibu yanarudi REJACTED sababu hasa huwa ni nini?alqfu sio mata moja kusikia ukituma maombi online huwa yanazingua ila ukimpa mfanyakazi wao hapo akufanyie mchakato ni faster ndani ya wiki 3 unapata mziho na 10 %unampa ..ila urasimu..
Niliwahi shuhudia kanisa moja wakibatiza waumini wake ..wale wabatizwa walikuwa kakibadilishia nguo chooni (sio wash room maaana kulikuwa kuchafu mno)niliumia kwa kitendo kile while kuna nyumba ya mchungaji kando ya eneo wanalobatizia,kuna nyumba ya wageni wa kanisa jirani..nilimuuliza mmoja wa...
Kama kapu ni moja mapato wanakusanya wao kwa nini tulipe mapato(kwa mwaka) na ushuru (kila baada ya miezi3)?let's say mapato unalipa elf 50 na ushuru elf 80 kila baada ya miezi 3 hii si sawa
Iko hivi mkuu kuna leseni ya halmashauri inalipwa mara moja kwa mwaka ..then kuna mapato ya halmashauri kila baada ya ya miezi mitatu ..naona kama kuna double payment kwa halmashauri hiyo hiyo..mbaya zaidi uanchotozwa kila baada ya miezi 3 ni kikubwa kuliko unachotozwa mara moja kwa mwaka...
Kinachoniuma ni kutoza wafanyabiasha pesa kubwa kiasi kwamba hakiendani na kinachopatikana zaidi ya elf 50 na zaidi kwa miezi 12 ..inauma sana mbona wilaya zingine hawatozi kabisa na hata wanaotozwa wengine wanatozwa kidogo 40 60 kwa mwaka si mbaya ..ni huzuni isee
Ingekuwa hivi hata mm nisingekuja kulalamika hapa aloo tunapigwa pesa nyingi zaidi ya laki 6 kwa mwaka na hii Service Levy tu serikali ingeangalia upya mapitio ya hii kitu aisee..au kuna watu wanapita kwa nyuma
Pita huku nzega baba ujionee wafanyabiashara wanavyokamuliwa kodi nimeshuhudia watu wakiachia frem kwa ajili ya utitiri wa kodi hasa huyu kirusi service levy kinazidi hadi hadi malipo ya kodi ya mwaka kwa mfanya biashara..imagine halmashuri hiyo hiyo imeona biashara yako ni ndogo inakukadiria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.