Recent content by Manjovial

  1. M

    DOKEZO Maafisa wa Manispaa ya Ubungo wamemlaza ndani ya Ofisi zao usiku kucha Muuza Duka kisa changamoto ya leseni, Mamlaka wameyapata wapi??

    Wale wanaokusanya mapato sjui huwa wanajikuta nani mbwa wale..alafu wengi wao hawajui na hawajawahi kufanya wala kumiliki biashara ..
  2. M

    Haya Maisha hayana maana yoyote

    Kifo kipo na kila mtu atakufa lakini haina maana ukae usifanye chochote ukisubirie kije..kifo ni halisi hakichagui maskini wala tajiri ..sio sifa kufa masikini wala sio dhambi kufa tajiri, starehe fedha gari majumba na mali zingine zote zinapita ila hakikisha zinapitia mikononi mwako ,shida...
  3. M

    Orodha ya magonjwa ambayo ukiyapata hayatibiki kwa hapa Tanzania

    Ninaamini kupitia hili jukwaa tungekuwa tunashare shuhuda za kupona au unafuu mkubwa wa ugonjwa tuliokuja kuomba msaada hapa ingekuwa msaada mkubwa sana. Au hata kutoa maoni postive wapi msaada wa uhakika unapatika ,mawasiliano ya madakatari au hospital na madawa ya asili au hospital..tatizo...
  4. M

    Orodha ya magonjwa ambayo ukiyapata hayatibiki kwa hapa Tanzania

    Mkuu Mungu akubariki tena na tena nimejua vingi mno
  5. M

    Naombeni ushauri kuhusu kushea biashara na mtu

    Kuna watu huwa ni waoga wa kusimama peke yao katika biashara wqnaogopa hasara hawapendi kujilipua .. wanajicho lafursa wanafaida za kwenye makaratasi wanatamani kuingia wanatanguliza mguu mmoja kwa kuombaa kolabo ili likibuma mshee hasara ..sasa jichanganye soko liyumbe au uende tofauti na...
  6. M

    Habari njema zaidi yatikisa dunia kwa China kutangaza kugundua dawa tiba ya kisukari

    Natoa ka ushuhuda kidogo kwa ambae ka sukari kanamnyemelea kuna wakorea wapo maeneo ya ubungo if am not mistaken wanadawa nzuri sana ukitumia ndani ya wiki 1 hadi 2 hivi unaanza kuona matokeo ..ni dawa za mitishamba
  7. M

    Orodha ya magonjwa ambayo ukiyapata hayatibiki kwa hapa Tanzania

    What good news Mungu mwema jamani ungeshare hapa japo kidogo dawa alizokuwa anatumia kama zipo ndani ya mazingira ya kawaida ya mtanzania pengine kuna mtu anapitia kama alichopitia mgonjwa wako ili nae pia ajaribu ..pengine pia lililoshndikana kwake linaweza msaidia au lililomsaidia likamsaidia...
  8. M

    Orodha ya magonjwa ambayo ukiyapata hayatibiki kwa hapa Tanzania

    Hongera kwa kudhihirishia umma huu Elastic ya kiwango chako cha upumbavu..yani akili yako yako yoote inawaza makalio woooii senge lizee lingine hili hapa wana JF limejileta linatafuta basha chaki wenzio wanavyoshusha vitu maana lenyewe kuandika utumbo tuu ndo kitu linajua empty bucket kichwani...
  9. M

    Orodha ya magonjwa ambayo ukiyapata hayatibiki kwa hapa Tanzania

    Hakuna asiyejua umuhimu wa uhai..hata ww ukipatwa na maradhi unatafuta tiba ili uendelee kusurvive si ndio..usingekuwa unajihangaikia kupata suluhu ya shida yako ungekaa usubiri kifo..hayajakukuta wala kumkuta mtu wa karibu na muhimu kwako .. usiwe mwepesi kujibu hovyo kwa mtu ambae Amefika...
  10. M

    Tanzania inatarajia kuanza kutumia kinga ya HIV

    Naogopa hizo chanjo..sjui kinga zisijetafuta kinga ya mwili na kunipa janga jipya ndani ya mwili wangu woooi
  11. M

    Tanzania inatarajia kuanza kutumia kinga ya HIV

    Moja ya malengo yao ni kufika 2030 if am not mistaken hakutakuwa na maambukizi mapya so wa huku wa huku wakule wa kule..unao unao huna huna kiranga chako tu ndio kitakuponza kuapata maambukizi mama endapo kinga/chanjo haitatumika
  12. M

    Orodha ya magonjwa ambayo ukiyapata hayatibiki kwa hapa Tanzania

    Maneno ya kuyia faraja sana Mungu azidi kumfanyia wepesi ...kwa mtazamo wangu hiyo ni hiyo ni rahisi kuckntrol kwa kubadili life style kama haijafika stage mbaya
Back
Top Bottom