Recent content by Manjovial

  1. M

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kuuza gesi za kupikia

    Faida kwa mitungi midogo inarange kuanzia 2000-2500 (24500 taifa,Lake unauza 27000) oryx 25500 unabadilisha kwa 28000) kila mteja anapochange mtungi na kwa mitungi mikubwa inafaida ya elf 5000
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tumia Email Hii Kuwajulisha CAF kuhusu tishio la Ugaidi Tanzania

    Tingisha Meza kwa tahadhari mkuu..ukimwaga hivyo vinywaji sidhani kama utaweza lipia ama itakugharimu kiliko uwezo wako
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kuajiriwa ni utumwa

    Ukipata nafasi ya kuajiriwa ajirika ..narudia tena ipende hiyo kazi kujiajiti sio mchezo
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kama wanawake wengi wa kiislamu hawapendi ndoa ya uke wenza kwanini wasiolewe na Wakristo tu ijulikane moja?

    Kuna baadhi ya mastaa kama Zamaradi,mwanaheri ni Muslim pure ila ukewenza ni kitu hawataki kusikia
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kama wanawake wengi wa kiislamu hawapendi ndoa ya uke wenza kwanini wasiolewe na Wakristo tu ijulikane moja?

    Bora shetani unaemjua kuliko malaika usiemjua
  6. M

    JamiiForums Tanzania Msaada sina kabisa nguvu za kiume

    Mkuu unauhakika huna deni na mtu wala taasisi..na uko vyedi na husiano lako?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Je, kuna uzi ulitaka kuandika kisha ukaghairi na kuachana na kuuandika?

    Hivi kuna mtu alishawahi kuomba PESA yake NSsf kwa njia ya ONLINE na akapata bila kupitia kwa dalali?niliomba ikawa rejected nakoelekea nahisi kutafuta dalali nimpe chake maana sielewi nimekosea wapi
  8. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wastaafu, hasa walimu, kurandaranda kwenye mabaa na kuombeleza pombe ni picha mbaya sana

    Hiyo inatokana kutostaafu mapema akazoea kitaa akiwa na nguvu anasubiri mpaka 60 ngaaaa..watumishi staafuni mapema.mfanye shughuli zenu za kuwaingizia kipato mkiwa na nguvu ..baada ya hapo ni stress na kuona ushachelewa na hakuna hajja ya kujisumbukia unaishi kusubiri kifoo..kufa hufi mapeema...
  9. M

    JamiiForums Tanzania KERO NSSF Morogoro (Ofisi ya Madai mtandaoni) shughulikieni APPROVAL za wateja wenu

    Hivi inakuaje mtu anaomba mafao yake kwa njia ya mfumo majibu yanarudi REJACTED sababu hasa huwa ni nini?alqfu sio mata moja kusikia ukituma maombi online huwa yanazingua ila ukimpa mfanyakazi wao hapo akufanyie mchakato ni faster ndani ya wiki 3 unapata mziho na 10 %unampa ..ila urasimu..
  10. M

    JamiiForums Tanzania Vyuo vingi vya makanisa vimefuta masomo ya dini havina utofauti na vyuo vya kawaida, Pongezi kwenu wasabato kwa kushikilia msimamo wenu

    Niliwahi shuhudia kanisa moja wakibatiza waumini wake ..wale wabatizwa walikuwa kakibadilishia nguo chooni (sio wash room maaana kulikuwa kuchafu mno)niliumia kwa kitendo kile while kuna nyumba ya mchungaji kando ya eneo wanalobatizia,kuna nyumba ya wageni wa kanisa jirani..nilimuuliza mmoja wa...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ombi la Mapitio ya Mfumo wa kodi na Tozo (SERVICE LEVY) Wafanyabiashara wa Halmashauri ya mji Nzega

    Kama kapu ni moja mapato wanakusanya wao kwa nini tulipe mapato(kwa mwaka) na ushuru (kila baada ya miezi3)?let's say mapato unalipa elf 50 na ushuru elf 80 kila baada ya miezi 3 hii si sawa
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ombi la Mapitio ya Mfumo wa kodi na Tozo (SERVICE LEVY) Wafanyabiashara wa Halmashauri ya mji Nzega

    Iko hivi mkuu kuna leseni ya halmashauri inalipwa mara moja kwa mwaka ..then kuna mapato ya halmashauri kila baada ya ya miezi mitatu ..naona kama kuna double payment kwa halmashauri hiyo hiyo..mbaya zaidi uanchotozwa kila baada ya miezi 3 ni kikubwa kuliko unachotozwa mara moja kwa mwaka...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Temeke: Jinsi Tozo inayoitwa SERVICE LEVY inavyokomesha Wafanyabiashara

    Kinachoniuma ni kutoza wafanyabiasha pesa kubwa kiasi kwamba hakiendani na kinachopatikana zaidi ya elf 50 na zaidi kwa miezi 12 ..inauma sana mbona wilaya zingine hawatozi kabisa na hata wanaotozwa wengine wanatozwa kidogo 40 60 kwa mwaka si mbaya ..ni huzuni isee
  14. M

    JamiiForums Tanzania Temeke: Jinsi Tozo inayoitwa SERVICE LEVY inavyokomesha Wafanyabiashara

    Ingekuwa hivi hata mm nisingekuja kulalamika hapa aloo tunapigwa pesa nyingi zaidi ya laki 6 kwa mwaka na hii Service Levy tu serikali ingeangalia upya mapitio ya hii kitu aisee..au kuna watu wanapita kwa nyuma
  15. M

    JamiiForums Tanzania Temeke: Jinsi Tozo inayoitwa SERVICE LEVY inavyokomesha Wafanyabiashara

    Pita huku nzega baba ujionee wafanyabiashara wanavyokamuliwa kodi nimeshuhudia watu wakiachia frem kwa ajili ya utitiri wa kodi hasa huyu kirusi service levy kinazidi hadi hadi malipo ya kodi ya mwaka kwa mfanya biashara..imagine halmashuri hiyo hiyo imeona biashara yako ni ndogo inakukadiria...
Back
Top Bottom