Recent content by Manjovial

  1. M

    JamiiForums Tanzania Vijana waliochoka kukaa mjini na wanatamani kurudi vijijini, nyoosheni mikono juu

    Kabisa lakini nichogundua bado hawajapata elimu ya fedha ..wanaonufaika ni wakopesha pesa ..msimu mmoja mtu anakopa zaidi ya mil 100 akilipwa mil 120 zinaishiankulipa madeni hata hela ya kununua mbolea hana anajikuta vyama vya ushirika ,bank kote anatkiwa kulipa anabaki hana kitu.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum kwa wenye upungufu wa nguvu za kiume

    Ukiwa na nguvu ya pesa waweza nunua dildo ukampa mpenzi na bado ukitwa baby kama kawa
  3. M

    JamiiForums Tanzania Vijana waliochoka kukaa mjini na wanatamani kurudi vijijini, nyoosheni mikono juu

    Kijiji gani unazungumzia kwanza..aisee kuna wilaya moja inaitwa Mbinga kuna vijana wanamiliki pesa buana ..ila hawajui matumizi ya pesa kubadili maisha yao(siwapangi)physically na pesa wanazomiliki tofarent kabisa ..nilshangaa nilipofika kule milioni 10 wanaitamka kama buku tu pesa ya kahawa...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa aina hii, najitolea misumari kwenye ujenzi wa sanamu zenu…

    Mbona km yule dada
  5. M

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri

    Hii yote ni inasababishwa na ile igo ya kiume while kuna mambo unaweza fanya kuepusha gogoro..Mungu anijalie nowakuze wanangu wa kiume wakue katika misingi ya kujitegemea bila kujali kazi za kike au kiume.. Na hii inaleta shida kwenye ndoa pale me anapotaka afanyiwe kila kitu na mkewe hata...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kuuza gesi za kupikia

    Faida kwa mitungi midogo inarange kuanzia 2000-2500 (24500 taifa,Lake unauza 27000) oryx 25500 unabadilisha kwa 28000) kila mteja anapochange mtungi na kwa mitungi mikubwa inafaida ya elf 5000
  7. M

    JamiiForums Tanzania Tumia Email Hii Kuwajulisha CAF kuhusu tishio la Ugaidi Tanzania

    Tingisha Meza kwa tahadhari mkuu..ukimwaga hivyo vinywaji sidhani kama utaweza lipia ama itakugharimu kiliko uwezo wako
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kuajiriwa ni utumwa

    Ukipata nafasi ya kuajiriwa ajirika ..narudia tena ipende hiyo kazi kujiajiti sio mchezo
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kama wanawake wengi wa kiislamu hawapendi ndoa ya uke wenza kwanini wasiolewe na Wakristo tu ijulikane moja?

    Kuna baadhi ya mastaa kama Zamaradi,mwanaheri ni Muslim pure ila ukewenza ni kitu hawataki kusikia
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kama wanawake wengi wa kiislamu hawapendi ndoa ya uke wenza kwanini wasiolewe na Wakristo tu ijulikane moja?

    Bora shetani unaemjua kuliko malaika usiemjua
  11. M

    JamiiForums Tanzania Msaada sina kabisa nguvu za kiume

    Mkuu unauhakika huna deni na mtu wala taasisi..na uko vyedi na husiano lako?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Je, kuna uzi ulitaka kuandika kisha ukaghairi na kuachana na kuuandika?

    Hivi kuna mtu alishawahi kuomba PESA yake NSsf kwa njia ya ONLINE na akapata bila kupitia kwa dalali?niliomba ikawa rejected nakoelekea nahisi kutafuta dalali nimpe chake maana sielewi nimekosea wapi
  13. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wastaafu, hasa walimu, kurandaranda kwenye mabaa na kuombeleza pombe ni picha mbaya sana

    Hiyo inatokana kutostaafu mapema akazoea kitaa akiwa na nguvu anasubiri mpaka 60 ngaaaa..watumishi staafuni mapema.mfanye shughuli zenu za kuwaingizia kipato mkiwa na nguvu ..baada ya hapo ni stress na kuona ushachelewa na hakuna hajja ya kujisumbukia unaishi kusubiri kifoo..kufa hufi mapeema...
  14. M

    JamiiForums Tanzania KERO NSSF Morogoro (Ofisi ya Madai mtandaoni) shughulikieni APPROVAL za wateja wenu

    Hivi inakuaje mtu anaomba mafao yake kwa njia ya mfumo majibu yanarudi REJACTED sababu hasa huwa ni nini?alqfu sio mata moja kusikia ukituma maombi online huwa yanazingua ila ukimpa mfanyakazi wao hapo akufanyie mchakato ni faster ndani ya wiki 3 unapata mziho na 10 %unampa ..ila urasimu..
  15. M

    JamiiForums Tanzania Vyuo vingi vya makanisa vimefuta masomo ya dini havina utofauti na vyuo vya kawaida, Pongezi kwenu wasabato kwa kushikilia msimamo wenu

    Niliwahi shuhudia kanisa moja wakibatiza waumini wake ..wale wabatizwa walikuwa kakibadilishia nguo chooni (sio wash room maaana kulikuwa kuchafu mno)niliumia kwa kitendo kile while kuna nyumba ya mchungaji kando ya eneo wanalobatizia,kuna nyumba ya wageni wa kanisa jirani..nilimuuliza mmoja wa...
Back
Top Bottom