Labda kama i am missing a point in your story ila jamaa kakuchukulia poa, nakujaje kugonge mlupo nyumbani kwako?? Hayo ni madharau, afu kama na wewe ulimkaushia na wewe basi ulizingua, maana kuna vitu vya kuvichukulia poa na kuna vitu si vya kuchukulia poa kabisa
Pole mdau, ila hata tukikushauri hapa ni post facto, maana ameshakua mke. Haya ulitakiwa utuulize kabla hujamuoa. Pole ila nna imani kuna wadau watakuja na mchango chanya.
Ilinichukua muda sana kupata mke kwa kua nlikua naangalia sana haya mambo mpaka wengine waliniita Mr Perfect, mimi naboreka...
Mzee hizo ni drama za kawaida za wanawake, mchukulie poa ingawa kwa vile vinavokukwaza mchane ukweli kuwa hupendezwi navyo. Mahusiano ni kuongea, kitu umekipenda sema, kitu hujakipenda sema.
Kuwaombea heri tu maana kuachana si kugombana, One man's trash is another man's treasure. Na kama wao wananiombea shari, kimpango wao.... dua la kuku halimpati mwewe. Potelea pote.....
Kuna aina ya utongozaji huwa unawaturn off wanawake hvo anakua anataka akukimbize pasipo kukuoffend anatumia weakness yako, ambayo ndo hyo sasa. So cha muhimu jiongeze, temana nae, Akiwa na nia ama akiwa kakuelewa hawez kuanza na invoice
Pole sana mdau, cha kwanza kwa namna yoyote ile na sababu yoyote ile kupigwa hakuvumiliki. Wewe sio mtoto mdogo.
Ushauri wangu, ondoka ukaanze maisha yako upya. Usiogope nini watu watasema ila ni kwa ajili yako. Pili kama moja ya wachangiaji alivosema hapo juu, usikurupuke kuingia tena kwenye...
Kuna wadada ni washikaji sana na wako njema kiuchumi and everything, they just like company wa wana kuliko wadada wenzio, sababu kuu ikiwa ni drama za mabinti wenzao.
Nadhani nsikulaumu mtoa mada hapa bali nilaumu malezi yako, ila nachojua mimi urafiki wa mwanamke na mwanaume upo na hauna...
Nimecomment juu ya kuchakatana maana ndo mada iliyokua juu ya meza, angeongelea wizi ningecomment za same juu ya wizi au dhambi yoyote tajwa. My bottom line is, ukijiona unafanya dhambi yoyote na unaona uko poa tu na dhamira haikusuti ujue, hauna uwepo wa Mungu/Roho Mtakatifu ndani yako.
Pole sana mkuu na pole kwa binti, nadhani atulie wakat utafikia tu as long as wewe hakuna ulichofanya. Shida yake anafanya relative comparison kuwa mbona rfk ake gani na gani wameolewa yeye hajaolewa. Na hilo ni kosa la watu wengi, kila mtu ana profile........ afocus kwenye lane yale tu na...
Kwenye kuchakatana kuna mambo mengi sana ya ulimwengu mwingine hutokea, ukiona kwako kuchakata ni ishu tu kama kutema mate chini just know huna Roho Mtakatifu/uwepo wa Mungu ndani yako, yaan huna tofauti na mnyama. So ndoa ni muhimu......... Ukishindwa kabisa acha na kuchakata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.