Usifanye hivyoooImeisha hiyo. Nenda ustawi upangiwe jinsi ya kutunza mtoto kwa kumuhudumia akiwa mbali. Huyo mwanamke atakuua kwa presha, atakuharibia hata kazi yako.
Huyu ni mzee wa kambaNimeishia hapo eti ukafanya maamuzi ya kumpa ujauzito, wewe ndo mwenye kuamua kuhusu ujauzito.!
Kwa nini unabadilisha passwords? Una nini cha kumficha mkeo?
Umri wake unaruhusu, age hiyo sidhani kuwa anajua hata umuhimu wa ndoa...ni umri wa ndoto bado, kama amepita shule basi ni umri wa kua chuo, sasa binti wa chuo na ndoa wapi na wapi....
Binti yake wakati anamkaza?Umri wake unaruhusu, age hiyo sidhani kuwa anajua hata umuhimu wa ndoa...ni umri wa ndoto bado, kama amepita shule basi ni umri wa kua chuo, sasa binti wa chuo na ndoa wapi na wapi....
Kama bado unamuhitaji inabidi uishi nae kama binti yako.
Binti yake kwa maana kwamba amchukulie ni mdogo, amuongoze....akimchukulia ni mkubwa mwenzie maisha yatasimama kwa muda.Binti yake wakati anamkaza?
Naunga mkono hojaBinti yake kwa maana kwamba amchukulie ni mdogo, amuongoze....akimchukulia ni mkubwa mwenzie maisha yatasimama kwa muda.
Na kumkaza amkaze tu, tena amkaze vizuri.
Watu wenye gubu n noma nlimpata mmoja nkashindwa maana alkua akianza kuongea nalala nashtuka hta after 2hrs bado anaongea anhc skulala nkaona nooooo nkapga chiniWadau ngoja nije moja kwa moja kwenye mada
Huyu mama watoto nimeanza nae mahusiano mwaka 2019 akiwa diploma mimi niikiwa mfanyakazi. Mwishoni mwa 2019 nikaamua kumweka ndani ili tusomane vizuri tabia kwa sababu nilikuwa nina shauku sana ya kuishi na mwanamke mmoja ninaye mpenda. Nikaenda kutoa mahari
Kipindi chote cha mahusiano yake alikiwa insecure sana na haya mahuano kwa sababu namzidi miaka kama mitano pia na kipato. So ugomvi wetu mkubwa ulikuwa ni simu yangu. Kila mara alikiwa ananivizia kujua password za simu yangu ili kujua kinachoendelea kwenye simu yangu. Japo nilikuwa najitahidi sanaa kubadili nywira.
Kila.alipokua akikuta kitu chochote alikiwa anaondoka kwangu na kudai kaniacha.
Pia ni mwanamke ambae nisipomtimizia mahitaji yake alikuwa anakuwa na hasira sanaa akihisi ninahonga na yeya namuacha kando.
Nikafanya maamuzi ya kumpa ujauzito nikihisi ataamini kama ni wangu na atapunguza wenge. Na ataaacha utoto wa kuwa na gubu.
Ila kiukweli ilikua ni kama nimechochea moto wa gas yaaani imekua ni mara dufu. Yaaani ilifika pahala hataki niende polote kila ninapotoka kazini hata marafiki akataka kunichagulia. Wivu uliopitiliza na unaokera. Mara zote alikua anachotaka nisipomtimizia anatishia kuondoka hata kama ni kidogo.
Ilifika pahala nikachoka so last weekend alikuaa chuo anajiandaa na mitihani kama ilivyokuwa ada nilikuwa namfata chuoni usiku. So that moment nilichelewa kwa sababu nilikua nakula bia na rafiki zangu.
Huwezi amini mama watoto alimind balaaa then akachukua boda akarudi home. Mie nilifika home kama dakika 20 nyuma yake nikapiga honi hakufungua, kwa kuwa geti lilikuwa halijafungwa. Nikazima gari nimaenda kufungua nikapak gari kipembe kikaja kuingia ndani. Akakataa kabisaa kufungua. So ikabidi nizuge naenda kulala gest ndo ikabidi anipigie simu. Nilivyorudi akanirushia funguo kupiti dirishani.
Nilivyofika chumbani akawa kafunga mlango so ikabidi nilale chumba cha wageni
Next day ilikuaa j'mos aliamka kanuna,mie kama kawaida nikamuuliza kama anaenda chuo then nimamleka
Jumapili akanandikia sms ndefu kama kachoka na maudhi yangu so alikuwa anahitaji break. Mie nilipuzia kwa vile nilikuaa kazini. Huwezi amini allipiga simu nyingi sanaa akiwa anaomba nimjibu japo sikupokea.
Nilivyorudi home usiku akaniuliza nimefanya maamuzi gani then nikamwambia nimeridhia aondoke akasema jumatatu anaondoka, so jumatatu akawapeleka mtoto na dada wa kazi kwa bibi yake kwa maana ni distance fupi then jioni akaniaga kwa sms
Haikupita hata masaa matatu akaniandikia sms ndefu kama anataka kurudi home sikumjibu akapiga simu nikamwambia no.
Baada ya hapo alikuwa anapiga simu mara kwa mara ikabidi nimblock ili kuondoa usumbufu. Jumatano mida ya saa tano asubuhi nkapigiwa na namba ngeni anajitambulisha then akasema anataka kuchukua barua ya field then ikabidi niende home kumfungulia.
Nafika home namkuta yeye binti wa kazi na mtoto.
Akasema mama yake kamfukuza mie sikujali nikamwambia akimaliza aweke funguo sehem tunayoijua baada kama ya saa mbili mama yake akanisms kwamba anahitaji tuonane. Nikamjibu nimebanwa sanaa kazini kwa sananj sikuona kama ni sawa kuongea nae kuhusu sisi
Jioni nimawakuta home. Nilikuwa tayari
Nikaenda chumba cha wageni kulala. Akaja kunuomba msamaha sanaaaaa ila sikutaka kuongea lolote nikalala.
Leo nimeamka nimaenda job hadi saiz sijaenda home kwa sababu kawa msumfu nishaurini niconclude vipi hili.......
Hadi hapo tu wewe ni mwanaume wa shoka,Hizi drama ndo zinazotengeneza mapenzi.. mkeo bado hana imani na ww, au anajazwa maneno mengii so anakupima, anamambo ya kitoto, mpelekee faya, mpaka ugoro aite ugolo, peleka moto mpaka unuse harufu ya mishikaki ya nundu, usimwache namwombea msamaha bro!
mbovu kuwahi kutokea,kwanza kabisa lazima ujue status yako kwamba wewe ni mwanaume unaejiweza..
huko kujiweza kwako ndo kunaleta matatizo kwenye familia.. kivipi? ok ni hivi...
shemeji anapenda kukagua simu yako coz anahisi unachepuka.. na wanaume wengi waaojiweza huwa wanachepuka
shemeji anakasirika usipomtimizia jambo alilokuomba coz anaamini uwezo huo unao ila unaamua tu so kwake anaona kama unamfanyia makusudi.
umechelewa kwenda kumchukua shemeji coz ulikua unakunywa bia na washkaji.. hili linaweza lisiwe tatizo ila kwa sababu tayari mmeshakua na matatizo mengine ya kila siku, hili nalo limeonekana ni tatizo.
NINI CHA KUFANYA..
em jaribu kushare password yako na shemeji, jaribu kumtimizia anachokuomba, jaribu kwenda kama anavyotaka yeye uone mambo yatakuaje..
kumbuka nimesema hili ni jaribio, unaweza ukalifanya japo kwa wiki mbili ilimradi tu uone kama hapo nyumbani maisha yatabadilika.
kwenye kila tatizo linalokukabili na linalojirudiarudia katika maisha yako, ukitaka mabadiliko na ukitaka matokeo ya tofauti basi jaribu kufanya kitu cha tofauti.
kila baada ya muda unaumwa malaria na hauchomi dawa wala hulali ndani ya chandarua halafu unanung'unika kwa kuumwa malaria.. hilo ni tatizo
matatizo yenu ya ndoa ni kama malaria tu na solution nilokupa ndo kama chandarua.
livike penzi chandarua. lichomee dawa ya mbu uone kama mtapata tena malaria.
Y = mx + b
hii formula naiita formula ya kuendesha maisha.
usipopendezwa na value ya Y, jaribu kuweka value ya tofauti kwenye X.
change the way you treat your wife and your wife will change the way she treats you.
Msamehe tu atakua ameshajifunza usipofanya hivyo mwanao anaweza lelewa na bwana mwingine jambo ambalo hakuna gentleman anakubaliWadau ngoja nije moja kwa moja kwenye mada
Huyu mama watoto nimeanza nae mahusiano mwaka 2019 akiwa diploma mimi niikiwa mfanyakazi. Mwishoni mwa 2019 nikaamua kumweka ndani ili tusomane vizuri tabia kwa sababu nilikuwa nina shauku sana ya kuishi na mwanamke mmoja ninaye mpenda. Nikaenda kutoa mahari
Kipindi chote cha mahusiano yake alikiwa insecure sana na haya mahuano kwa sababu namzidi miaka kama mitano pia na kipato. So ugomvi wetu mkubwa ulikuwa ni simu yangu. Kila mara alikiwa ananivizia kujua password za simu yangu ili kujua kinachoendelea kwenye simu yangu. Japo nilikuwa najitahidi sanaa kubadili nywira.
Kila.alipokua akikuta kitu chochote alikiwa anaondoka kwangu na kudai kaniacha.
Pia ni mwanamke ambae nisipomtimizia mahitaji yake alikuwa anakuwa na hasira sanaa akihisi ninahonga na yeya namuacha kando.
Nikafanya maamuzi ya kumpa ujauzito nikihisi ataamini kama ni wangu na atapunguza wenge. Na ataaacha utoto wa kuwa na gubu.
Ila kiukweli ilikua ni kama nimechochea moto wa gas yaaani imekua ni mara dufu. Yaaani ilifika pahala hataki niende polote kila ninapotoka kazini hata marafiki akataka kunichagulia. Wivu uliopitiliza na unaokera. Mara zote alikua anachotaka nisipomtimizia anatishia kuondoka hata kama ni kidogo.
Ilifika pahala nikachoka so last weekend alikuaa chuo anajiandaa na mitihani kama ilivyokuwa ada nilikuwa namfata chuoni usiku. So that moment nilichelewa kwa sababu nilikua nakula bia na rafiki zangu.
Huwezi amini mama watoto alimind balaaa then akachukua boda akarudi home. Mie nilifika home kama dakika 20 nyuma yake nikapiga honi hakufungua, kwa kuwa geti lilikuwa halijafungwa. Nikazima gari nimaenda kufungua nikapak gari kipembe kikaja kuingia ndani. Akakataa kabisaa kufungua. So ikabidi nizuge naenda kulala gest ndo ikabidi anipigie simu. Nilivyorudi akanirushia funguo kupiti dirishani.
Nilivyofika chumbani akawa kafunga mlango so ikabidi nilale chumba cha wageni
Next day ilikuaa j'mos aliamka kanuna,mie kama kawaida nikamuuliza kama anaenda chuo then nimamleka
Jumapili akanandikia sms ndefu kama kachoka na maudhi yangu so alikuwa anahitaji break. Mie nilipuzia kwa vile nilikuaa kazini. Huwezi amini allipiga simu nyingi sanaa akiwa anaomba nimjibu japo sikupokea.
Nilivyorudi home usiku akaniuliza nimefanya maamuzi gani then nikamwambia nimeridhia aondoke akasema jumatatu anaondoka, so jumatatu akawapeleka mtoto na dada wa kazi kwa bibi yake kwa maana ni distance fupi then jioni akaniaga kwa sms
Haikupita hata masaa matatu akaniandikia sms ndefu kama anataka kurudi home sikumjibu akapiga simu nikamwambia no.
Baada ya hapo alikuwa anapiga simu mara kwa mara ikabidi nimblock ili kuondoa usumbufu. Jumatano mida ya saa tano asubuhi nkapigiwa na namba ngeni anajitambulisha then akasema anataka kuchukua barua ya field then ikabidi niende home kumfungulia.
Nafika home namkuta yeye binti wa kazi na mtoto.
Akasema mama yake kamfukuza mie sikujali nikamwambia akimaliza aweke funguo sehem tunayoijua baada kama ya saa mbili mama yake akanisms kwamba anahitaji tuonane. Nikamjibu nimebanwa sanaa kazini kwa sananj sikuona kama ni sawa kuongea nae kuhusu sisi
Jioni nimawakuta home. Nilikuwa tayari
Nikaenda chumba cha wageni kulala. Akaja kunuomba msamaha sanaaaaa ila sikutaka kuongea lolote nikalala.
Leo nimeamka nimaenda job hadi saiz sijaenda home kwa sababu kawa msumfu nishaurini niconclude vipi hili.......