Kuna bili yangu tu ya umeme mkuu ila kodi haipoZero IQ nimesoma faster sana na nimeona upo sahihi kabisa kukataa kwenda kulala kwake
Kwa asilimia hizo 25% kodi yako ipo mkuu? Kama ipo basi kheri ila kama siyo usiende hapo mahali
Mbeya nimekushindwa mkuu nimerudi Dodoma tumeshayamalizaMjeda alikuokoa na binti yake? Vip ulihamia Mbeya?
Utakuja kupigwa zaid jicho litoke maana hapo naona jicho lilishavimba
Yaani wewe kesi ya mtoto wa mjeda imeisha?Huyu mpenzi wangu sijui ana shida gani? Yuko na kazi zake kapanga mahala flani hivi. Kuanzia tuanze mahusiano ni mara chache tu ndio yeye huja kulala kwangu ila mara zote anataka mimi ndio nitoke niende kulala kwake.
Unasubiri nini Mkuu au ndiyo bado unachakata?
Kwenye kuoa hapo ndio kipengereUoneni tu ili muwe na kwenu muwemnalala wote kila siku
Hapo sijui kwa upande wako ila mimi siingii😂😂😂
Kwann tena?
Kama akili yako inashindwa kuchakata na kutoa suluhu kwa Jambo dogo namna hii basi kweli wewe ni zero IQ!