kibovu
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 661
- 686
fact mkuuuUchawi upo lakini unafanya kazi kwa wanaoshiriki..
Kama mdada hajihusishi na ushirikina utatumia kila aina ya uchawi hutafanikiwa..
Ila wale ambao kila kitu wanaenda kwa waganga hao ndo unaweza tumia dawa ukawashika mkono ukawakokota