Recent content by MANIKONGO

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ni sawa mke wa mtu kuwa na marafiki wakiume?

    Waheshimiwa, let us be flexible. Huyo mke kwanza yuko katio socio-economic status gan, na ni wa umri gani. Mfano kuna wale miaka 50 na zaidi halafu excutive officers kwanza wao wenyewe wanaheshima zao. sio kila rafiki eti kumkuta tu sebleni ndio tatizo. Lakini wivu tu huo jamani. Wanawake wapo...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wamama/dada zangu wafuga kucha mnawezaje kujisafisha sehemu nyeti?

    aaaaaaaaaaaaa, wabunifu sana hao, wanajisafisha saafi tu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Maneno 21 kutoka kwa Baba kwenda kwa mtoto wakiume aliye katika mahusiano.

    Utazunguka kutafuta kila kona, utaishia papuchi tu hapa. yote hayo wapi aka! Baba gani hao wa lini wa zamanii labda. eti mwanangu, oooo mwanangu, hajui kama siku hizi ni utandawazi.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mchumba kakataliwa kisa shepu

    Mwanaume mzima unakosa msimamo, walau wangesema anatabia zisizorizisha/hatarishi sio huo utumbo. kwani wewe ulimchagua usiku au kakunywesha libwata nin
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kukata kiuno wakati wa tendo la ndoa kwa mwanamke

    Napo akikata ovyo-ovyo hakuna hata mana yeyote.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Hizi ndizo kozi za chuo kikuu ambazo mwanamke akizisoma lazima ajitambue.

    Non sense, peleka kwenye facebook
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mwanamke anavyovaa ni kwa influence ya nani?

    sasa mtawachaguaje wasipotega kidogo, kha! hata kama ningekua mimi kwa sababu sitongozi ila natongozwa. labda kama umeolewa, hata ukiolewa you need to show kwamba na ww umo. Nyi pigeni fasheni. Kipaja kwa mbali ila kisizidi, kimini ila kisiwe kifupi sana. Kigauni kinatoa shepu safiiiiii, ila...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Wanaume wananichukulia tofauti na nilivyo

    Aaa, wapi, we jirekebishe watu hawakuonei na kama nyie mpo wengi sana. change your conduct soon
  9. M

    JamiiForums Tanzania Sijalipenda hili jina

    Kwani wewe ulienda kuchumbia huko, au hujaoa ww,
  10. M

    JamiiForums Tanzania Maswala ya kujiuza na kuwa na mpenzi wa ziada

    Tunaposema mtu anajiuza tunamaanisha nani kati ya hawa. 1. CSW= Commercial sex workers 2. WETS= Woman engaging in transactional sex works.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ndoa Huwa Ina Stage 4

    ü Mtoa mada hayupo makini, tatizo lake anajua neno ndoa kwa Kiswahili tu, hivi aache kubunia mambo hapo ü Kuna matrimony and Marriage. Nenda Marekani kunaa cohabitation, etc ü Kama ni marriage hakuna hizo step anazosema hizo. ü Kaman ni matrimony ok, ü After matrimony unaweza...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Asilimia 99 ya wanawake wanajiuza...!

    THIS IS A NICE IDEA, ITS TRUTH SOUNDS LIKE THAT: CSW & WETS ALL ARE PROSTITUTION . 1. CSW= Commercial sex workers ( Bongo wanapatikana buguruni, Sinza, Manzese etc) Hao ndio special hukaa barabarani au site yoyote nzuri na wana bei maalumu inaweza ikawa ni kwa goli, kwa usiku nk. 2...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna mwanamke mzuri aliyesoma sana

    watu hapo wanabishi bure, zaidi ya asilimia 90 ya wanawake wanaofikia hata degree tu sura bandidu, na wakija chuo hukimbilia kama udsm hukimbilia bicom, sociology, pspa, bandidu zaidi engeneer, sheria. Kwa nini wajitese wakati soko liko juu.aka..........!
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kunaubaya kumuonyesha mpenzi...

    very relative and dynamic over time and space
  15. M

    JamiiForums Tanzania natafuta rafiki wa kiume ambaye badae atakuwa mchumba na hatimae niolewe naye

    I meet all, but photo, we need it
Back
Top Bottom