Waheshimiwa, let us be flexible. Huyo mke kwanza yuko katio socio-economic status gan, na ni wa umri gani. Mfano kuna wale miaka 50 na zaidi halafu excutive officers kwanza wao wenyewe wanaheshima zao. sio kila rafiki eti kumkuta tu sebleni ndio tatizo.
Lakini wivu tu huo jamani. Wanawake wapo...
Utazunguka kutafuta kila kona, utaishia papuchi tu hapa. yote hayo wapi aka! Baba gani hao wa lini wa zamanii labda. eti mwanangu, oooo mwanangu, hajui kama siku hizi ni utandawazi.
sasa mtawachaguaje wasipotega kidogo, kha! hata kama ningekua mimi kwa sababu sitongozi ila natongozwa. labda kama umeolewa, hata ukiolewa you need to show kwamba na ww umo. Nyi pigeni fasheni. Kipaja kwa mbali ila kisizidi, kimini ila kisiwe kifupi sana. Kigauni kinatoa shepu safiiiiii, ila...
ü Mtoa mada hayupo makini, tatizo lake anajua neno ndoa kwa Kiswahili tu, hivi aache kubunia mambo hapo
ü Kuna matrimony and Marriage. Nenda Marekani kunaa cohabitation, etc
ü Kama ni marriage hakuna hizo step anazosema hizo.
ü Kaman ni matrimony ok,
ü After matrimony unaweza...
THIS IS A NICE IDEA, ITS TRUTH SOUNDS LIKE THAT: CSW & WETS ALL ARE PROSTITUTION .
1. CSW= Commercial sex workers ( Bongo wanapatikana buguruni, Sinza, Manzese etc) Hao ndio special hukaa barabarani au site yoyote nzuri na wana bei maalumu inaweza ikawa ni kwa goli, kwa usiku nk.
2...
watu hapo wanabishi bure, zaidi ya asilimia 90 ya wanawake wanaofikia hata degree tu sura bandidu, na wakija chuo hukimbilia kama udsm hukimbilia bicom, sociology, pspa, bandidu zaidi engeneer, sheria. Kwa nini wajitese wakati soko liko juu.aka..........!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.