Sijalipenda hili jina

Sijalipenda hili jina

Ukiona hivyo jua linazama kaka na uncle zimedhakupita. Ni sawa na akina mama utasikia dada, aunt na mwisho mama.
 
Kumbe we ni libaba ha ha nkajua kikaka!! Shkamoo libaba !!!
 
Pole mbaba kwa kupata makwazo jioni hii kutoka kwa mhudumu, ila nimecheka sana. Sasa ulitaka akuiteje labda?
 
Aliamua kukuita mbaba kama kinga yake usimwombe pa......i kweli alifanikiwa maana alishakujenga kisaikolojia ukamchukia
 
Aisee umenilazimisha kucheka,! Yani leo nlikuwa na hasira!
Jf smtm raha sana!
 
Nimetoka kwenye mihangaiko yangu nikaingia bar moja pande za sinza nipoze koo na kula japo kongolo. Baada ya mhudumu binti mkubwa tu kunihudumia nikamwomba aniitie mtu wa jikoni akapaza sauti akasema 'wee mangi huyu mbaba hapa anakuita'! Amenikera mno kwani kashindwa kutumia jina lingine?

ndio ulivyo mbaba....usilaumu wahudumu mimi huwa naitwa mkaka.
mbaba mara nyingi unaonekana mtu mzima kiaina halafu hujijali teh teh
 
Mbaba halijakaa kiheshima bora angekuita mteja.,
 
mshana jr punguza misosi. unaona sasa kijana mdogo inafananishwa na wababa
 
Last edited by a moderator:
Nimetoka kwenye mihangaiko yangu nikaingia bar moja pande za sinza nipoze koo na kula japo kongolo. Baada ya mhudumu binti mkubwa tu kunihudumia nikamwomba aniitie mtu wa jikoni akapaza sauti akasema 'wee mangi huyu mbaba hapa anakuita'! Amenikera mno kwani kashindwa kutumia jina lingine?

Huyu Mzee anakuita,vp hiyo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom