nawee niushiiza uko, maini heyadaahaa
Nimetoka kwenye mihangaiko yangu nikaingia bar moja pande za sinza nipoze koo na kula japo kongolo. Baada ya mhudumu binti mkubwa tu kunihudumia nikamwomba aniitie mtu wa jikoni akapaza sauti akasema 'wee mangi huyu mbaba hapa anakuita'! Amenikera mno kwani kashindwa kutumia jina lingine?
Nimetoka kwenye mihangaiko yangu nikaingia bar moja pande za sinza nipoze koo na kula japo kongolo. Baada ya mhudumu binti mkubwa tu kunihudumia nikamwomba aniitie mtu wa jikoni akapaza sauti akasema 'wee mangi huyu mbaba hapa anakuita'! Amenikera mno kwani kashindwa kutumia jina lingine?