kuna jamaa yangu alinielezea kwamba, %99 ya wanawake wanajiuza, Wengine Directly others Indirecty aliendelea kueleza kwamba, Directly ni wale ambao wanajiuza barabarani wakisubili wateja wao,Indirectly ni wale ambao wanampenda mwanaume kwa sababu ana kitu fulana ,inaweza ikawa anapesa au ana Cheo fulani au anafanya kazi nzuri hawa ni wale ambao ukifilisika mapenzi yanapungua kama sio kuisha kabisa,na ndoa inaanza kuwa mguu pande.
Aliendelea kuelezea kwamba watu kama hawa hata ukitoka naye out ,pamoja kwamba naye anafanya kazi hata hachangiii hata senti tano,sometimes anatoa lakini baada ya hapo lazima akupige mzinga kama sio siku hiyohiyo basi siku nyingine.aliendelea kueleza kuwa wanawake /wadada wa namna hii wapo wengi maofisini na vyuoni na baadhi kwenye ndoa.
Akasema %1 ya wanawake wana mapenzi ya kweli anaweza kukupenda hata kama hauna kazi au hata kama kipato kimepungua,na ukifukuzwa anakuwa anauzunika sana na anakuwa karibu sana na wewe . hata kama wote mnafanya kazi basi kusaidiana kunakwepo kutegemeana na uwezo wa kipato cha mwenzake.
Kwa kweli nilimbishia jamaa yangu, nikamwambia asilimia hiyo 99 ni kubwa mno naomba upunguze akasema hawezi punguza hiyo ndiyo fact, sasa wakuu naomba comments zenu juu ya suala hili je kweli.Wakina kaka na wakina dada naomba tusaidie juu ya suala hili kama ni kweli ,karibuni..
THIS IS A NICE IDEA, ITS TRUTH SOUNDS LIKE THAT: CSW & WETS ALL ARE PROSTITUTION .
1. CSW= Commercial sex workers ( Bongo wanapatikana buguruni, Sinza, Manzese etc) Hao ndio special hukaa barabarani au site yoyote nzuri na wana bei maalumu inaweza ikawa ni kwa goli, kwa usiku nk.
2. WETS= Woman Engaging in Transactional Sex Work= Hao ndio wanakamilisha na luifikisha hiyo 90% uliyotaja mkuu.
Hii namba mbili haibagui ameolewa au hajao, wakati namba moja walioolewa ni wachache sana. Kwa sababu inataka ujasiri mana hata wanunuzi wenyewe nao inataka ujasiri
ü Tafsiri yangu kujiuza ni kama katabia ambako wanawake wanakua nako kadiri wanavyokua. Na hii hutokana na ugonjwa wa BEAUTY MYTH. Busy to beautify their body for the sake of man recognition.
ü Sometime I say they purely entrepreneurs kwa sababu ni wabunifu wa kujiweka katika hali ambayo itawafanya wachaguliwe kwa gharama Fulani.
ü Kwa tafsiri nzuri zaidi kitendo cha kuiboresha bidhaa ili iwavutie wanaoihitaji( wateja) obviously ni kujiuza.
ü Coming to wamama wa miaka kuanzia 25 na kuendelea au maranyingi 30 na kuendelea hasa kwa wale ambao ni wazuri bila kujali wafanyakazi Iam telling you hao mimi nawaita ni technical (WETS). Nasema hivi kwa sababu wao hufanya mapenzi kwa mahesabu wakizingatia ni kwa vipi wanamteka mume wa mtu, na wako tayari wazae nae tu ili wamtoe pesa.
ü Umalaya wao ni very calculated na wala haupimwi kwa mavazi au nini.
ü Vile vile ni waharibifu wakubwa sana wa ndoa za watu, na kundi hili wafanyakazi wanaongoza.