Ndoa Huwa Ina Stage 4

Ndoa Huwa Ina Stage 4

Ndoa yangu sitaki iwe na stages ..eeh Mungu nisaidie
 
1. Mkwara stage

Mwaka wa Kwanza wa ndoa ulivyo mtamu hapa bado wapya ni full kujishaua, kila mahali mko wote, unawahi kurudi home, kabla hujapika unauliza hubby ungependa kula nini leo. Profile picture na Selfie za kumwaga, mnafanya Anniversary za ndoa mwezi kwa mwezi kama kifurushi cha cheka bombastiki.

2. I am happily married stage

Miaka 2-3 ya ndoa, pete za ndoa zinang'aa, full kupiga picha huku unashow kidole kila mtu ajue your taken. Ni mwiko kusahau Birthday ya Mkeo/Mmeo, ukitongozwa unaripoti hapohapo kwa mme/mke. Full huba, mnabadilishana hadi password za simu na facebook, mnajenga trust kwamba hakuna siri kati yenu.

3.I am married stage

Hapa lile neno happily limeanza kufifia, ndoa ina miaka 5. Gusa simu yake uone moto kudadeki, mdada ushajifungua watoto wawili, umejiachia, Saluni huendi unasuka tu tatu kichwa freesh. Jamaa anaanza kuhisi umezeeka/umedorora/huna mvuto. Umejiachia Mtumbo wa chips na uzazi huooo ukidhani mmeo ameshakuzoea so huna muda wa kumu-impress anymore. Eti Kuku wako manati ya nini wakati nje kuna masistaduu wanawaka kama Tanzanite na wanamtaka mmeo na pete yake hivyohivyo.

4.Bora liende stage

Ndoa ishafika miaka 7-10 hivi, Hapa mme anarudi muda anaotaka na hataki aulizwe kitu, yuko bize anasahau birthday yako na ukimwambia anawaka kwamba unafuatilia vitu vidogo. Mnalala pamoja hata mwezi hakugusi wala nini. Sexual attraction kushnehi, hapa ndo unakumbuka namba ya EX wako kichwani na kuanza kurecall alivyokuwa anakukamua vizuri kuliko mmeo anayechechemea dakika 6 halafu anakoroma.

Mnaanza kuwa close na EX na kuchepuka mara 1 moja na hujisikii vibaya coz Home hamna spark anymore na unahisi mme anasababisha ukamuliwe nje. Talaka huombi coz unajiuliza wazazi watanionaje, mashosti niliowalingishia harusi watasemaje unatulia kimya.

Walio nje wanawaona nyie ni mke na mme, lakini nyie wawili mnajua ukweli kwamba mmekuwa kaka na dada wasio tumbo moja!

Me mecopy tu sitaki maswali Bye.

hayo ni ya kweli kabisa
 
kwetu niliambiwa hivi,kila siku niwe namuona mume kama mtoto wa miezi miwili ambaye anahitaji ulinzi wa mama na upendo wa mama zaidi na kweli nimeona nikiifuta hii mambo bado yapo kama honeymoon tuu, pia nilisisitiziwa kuwa mtoto nitakaye zaa nimuone kama mgeni kaja kunitembelea hivyo nina haki kuongea nae au kumwambia niko busy arudi baadae, hivyo mimi namba 3 nitairuka salama tuu

Hongera kwa hili uko mbali
Mwenzetu namwomba Mungu ndoa Yang isije kuwa na stage
 
1. Mkwara stage

Mwaka wa Kwanza wa ndoa ulivyo mtamu hapa bado wapya ni full kujishaua, kila mahali mko wote, unawahi kurudi home, kabla hujapika unauliza hubby ungependa kula nini leo. Profile picture na Selfie za kumwaga, mnafanya Anniversary za ndoa mwezi kwa mwezi kama kifurushi cha cheka bombastiki.

2. I am happily married stage

Miaka 2-3 ya ndoa, pete za ndoa zinang'aa, full kupiga picha huku unashow kidole kila mtu ajue your taken. Ni mwiko kusahau Birthday ya Mkeo/Mmeo, ukitongozwa unaripoti hapohapo kwa mme/mke. Full huba, mnabadilishana hadi password za simu na facebook, mnajenga trust kwamba hakuna siri kati yenu.

3.I am married stage

Hapa lile neno happily limeanza kufifia, ndoa ina miaka 5. Gusa simu yake uone moto kudadeki, mdada ushajifungua watoto wawili, umejiachia, Saluni huendi unasuka tu tatu kichwa freesh. Jamaa anaanza kuhisi umezeeka/umedorora/huna mvuto. Umejiachia Mtumbo wa chips na uzazi huooo ukidhani mmeo ameshakuzoea so huna muda wa kumu-impress anymore. Eti Kuku wako manati ya nini wakati nje kuna masistaduu wanawaka kama Tanzanite na wanamtaka mmeo na pete yake hivyohivyo.

4.Bora liende stage

Ndoa ishafika miaka 7-10 hivi, Hapa mme anarudi muda anaotaka na hataki aulizwe kitu, yuko bize anasahau birthday yako na ukimwambia anawaka kwamba unafuatilia vitu vidogo. Mnalala pamoja hata mwezi hakugusi wala nini. Sexual attraction kushnehi, hapa ndo unakumbuka namba ya EX wako kichwani na kuanza kurecall alivyokuwa anakukamua vizuri kuliko mmeo anayechechemea dakika 6 halafu anakoroma.

Mnaanza kuwa close na EX na kuchepuka mara 1 moja na hujisikii vibaya coz Home hamna spark anymore na unahisi mme anasababisha ukamuliwe nje. Talaka huombi coz unajiuliza wazazi watanionaje, mashosti niliowalingishia harusi watasemaje unatulia kimya.

Walio nje wanawaona nyie ni mke na mme, lakini nyie wawili mnajua ukweli kwamba mmekuwa kaka na dada wasio tumbo moja!

Me mecopy tu sitaki maswali Bye.

ü Mtoa mada hayupo makini, tatizo lake anajua neno ndoa kwa Kiswahili tu, hivi aache kubunia mambo hapo
ü Kuna matrimony and Marriage. Nenda Marekani kunaa cohabitation, etc
ü Kama ni marriage hakuna hizo step anazosema hizo.
ü Kaman ni matrimony ok,
ü After matrimony unaweza kuevaluate marriage value
ü Japo angesema hivi( pre- mature, mature and post mature)
ü Hizo imagined ndoa zake huyo ni zina involve accidental marriage.
ü Planned and organized marriage hazina matatizo
 
Hongera kwa hili uko mbali
Mwenzetu namwomba Mungu ndoa Yang isije kuwa na stage

asante yaani yule jamaa kila siku mfanye mtoto tuu na kama kawa maneno yako yawe yale matatu mdomoni mwako, hakika stage hizo utazisikia kwa wenzio tuu
 
kwetu niliambiwa hivi,kila siku niwe namuona mume kama mtoto wa miezi miwili ambaye anahitaji ulinzi wa mama na upendo wa mama zaidi na kweli nimeona nikiifuta hii mambo bado yapo kama honeymoon tuu, pia nilisisitiziwa kuwa mtoto nitakaye zaa nimuone kama mgeni kaja kunitembelea hivyo nina haki kuongea nae au kumwambia niko busy arudi baadae, hivyo mimi namba 3 nitairuka salama tuu

Sina uhakika sana na ulichosema hapa, ------ uzae nije nione kama kweli huyo mtoto utamtreat kama mgeni, labda hujamtoa kwenye tumbo lako dada
 
Sina uhakika sana na ulichosema hapa, ------ uzae nije nione kama kweli huyo mtoto utamtreat kama mgeni, labda hujamtoa kwenye tumbo lako dada

njoo uone mwaya tena MUngu ni wa ajabu sana kanipa watoto mapacha wa kike wawili mwezi wa sita wanatimiza mwaka ni Toccara na Dobrana, kiukweli ni wanangu tena nawapenda ila wamekuja baada ya miaka mitatu ya ndoa yangu, mume wangu nina mpa nafasi ya pili mpka ya tano maana ya kwanza ni Mungu then wengine wanafuata.
 
1. Mkwara stage

Mwaka wa Kwanza wa ndoa ulivyo mtamu hapa bado wapya ni full kujishaua, kila mahali mko wote, unawahi kurudi home, kabla hujapika unauliza hubby ungependa kula nini leo. Profile picture na Selfie za kumwaga, mnafanya Anniversary za ndoa mwezi kwa mwezi kama kifurushi cha cheka bombastiki.

2. I am happily married stage

Miaka 2-3 ya ndoa, pete za ndoa zinang'aa, full kupiga picha huku unashow kidole kila mtu ajue your taken. Ni mwiko kusahau Birthday ya Mkeo/Mmeo, ukitongozwa unaripoti hapohapo kwa mme/mke. Full huba, mnabadilishana hadi password za simu na facebook, mnajenga trust kwamba hakuna siri kati yenu.

3.I am married stage

Hapa lile neno happily limeanza kufifia, ndoa ina miaka 5. Gusa simu yake uone moto kudadeki, mdada ushajifungua watoto wawili, umejiachia, Saluni huendi unasuka tu tatu kichwa freesh. Jamaa anaanza kuhisi umezeeka/umedorora/huna mvuto. Umejiachia Mtumbo wa chips na uzazi huooo ukidhani mmeo ameshakuzoea so huna muda wa kumu-impress anymore. Eti Kuku wako manati ya nini wakati nje kuna masistaduu wanawaka kama Tanzanite na wanamtaka mmeo na pete yake hivyohivyo.

4.Bora liende stage

Ndoa ishafika miaka 7-10 hivi, Hapa mme anarudi muda anaotaka na hataki aulizwe kitu, yuko bize anasahau birthday yako na ukimwambia anawaka kwamba unafuatilia vitu vidogo. Mnalala pamoja hata mwezi hakugusi wala nini. Sexual attraction kushnehi, hapa ndo unakumbuka namba ya EX wako kichwani na kuanza kurecall alivyokuwa anakukamua vizuri kuliko mmeo anayechechemea dakika 6 halafu anakoroma.

Mnaanza kuwa close na EX na kuchepuka mara 1 moja na hujisikii vibaya coz Home hamna spark anymore na unahisi mme anasababisha ukamuliwe nje. Talaka huombi coz unajiuliza wazazi watanionaje, mashosti niliowalingishia harusi watasemaje unatulia kimya.

Walio nje wanawaona nyie ni mke na mme, lakini nyie wawili mnajua ukweli kwamba mmekuwa kaka na dada wasio tumbo moja!

Me mecopy tu sitaki maswali Bye.


Kama ukweli fulani hv ,,,,,,,mm nipo stage 3
 
Wewe ni mndani; umetulia huna papara. bila shaka ni mwandishi na ni mwanafalsfa.
 
kwetu niliambiwa hivi,kila siku niwe namuona mume kama mtoto wa miezi miwili ambaye anahitaji ulinzi wa mama na upendo wa mama zaidi na kweli nimeona nikiifuta hii mambo bado yapo kama honeymoon tuu, pia nilisisitiziwa kuwa mtoto nitakaye zaa nimuone kama mgeni kaja kunitembelea hivyo nina haki kuongea nae au kumwambia niko busy arudi baadae, hivyo mimi namba 3 nitairuka salama tuu

kweli ulifundika, nimependa maneno haya.
 
X after 10 years duh!
Usishangae mkubwa, na hasa kama waliachana bila kugombana na mwanamke akawa hajaenda na mwingine zaidi ya mume wake. Mahaba ya karibu anayokumbuka ni yale ya mwisho kable ya kuolewa
 
Yangu mm namba 4 ndipo ilipofika,but si wa kujiachia,najimake smart,naenda gym,nina mvuto,wanaume hamna jema,na mke akichoka tabia za mume anaona bora liende kuliko kuletewa virus kwa kumchekea,unakufa na utamu wako hahaaa,but sijachepuka,nina hofu ya mungu, shikamoo wanaume!
 
Back
Top Bottom