1. Mkwara stage
Mwaka wa Kwanza wa ndoa ulivyo mtamu hapa bado wapya ni full kujishaua, kila mahali mko wote, unawahi kurudi home, kabla hujapika unauliza hubby ungependa kula nini leo. Profile picture na Selfie za kumwaga, mnafanya Anniversary za ndoa mwezi kwa mwezi kama kifurushi cha cheka bombastiki.
2. I am happily married stage
Miaka 2-3 ya ndoa, pete za ndoa zinang'aa, full kupiga picha huku unashow kidole kila mtu ajue your taken. Ni mwiko kusahau Birthday ya Mkeo/Mmeo, ukitongozwa unaripoti hapohapo kwa mme/mke. Full huba, mnabadilishana hadi password za simu na facebook, mnajenga trust kwamba hakuna siri kati yenu.
3.I am married stage
Hapa lile neno happily limeanza kufifia, ndoa ina miaka 5. Gusa simu yake uone moto kudadeki, mdada ushajifungua watoto wawili, umejiachia, Saluni huendi unasuka tu tatu kichwa freesh. Jamaa anaanza kuhisi umezeeka/umedorora/huna mvuto. Umejiachia Mtumbo wa chips na uzazi huooo ukidhani mmeo ameshakuzoea so huna muda wa kumu-impress anymore. Eti Kuku wako manati ya nini wakati nje kuna masistaduu wanawaka kama Tanzanite na wanamtaka mmeo na pete yake hivyohivyo.
4.Bora liende stage
Ndoa ishafika miaka 7-10 hivi, Hapa mme anarudi muda anaotaka na hataki aulizwe kitu, yuko bize anasahau birthday yako na ukimwambia anawaka kwamba unafuatilia vitu vidogo. Mnalala pamoja hata mwezi hakugusi wala nini. Sexual attraction kushnehi, hapa ndo unakumbuka namba ya EX wako kichwani na kuanza kurecall alivyokuwa anakukamua vizuri kuliko mmeo anayechechemea dakika 6 halafu anakoroma.
Mnaanza kuwa close na EX na kuchepuka mara 1 moja na hujisikii vibaya coz Home hamna spark anymore na unahisi mme anasababisha ukamuliwe nje. Talaka huombi coz unajiuliza wazazi watanionaje, mashosti niliowalingishia harusi watasemaje unatulia kimya.
Walio nje wanawaona nyie ni mke na mme, lakini nyie wawili mnajua ukweli kwamba mmekuwa kaka na dada wasio tumbo moja!
Me mecopy tu sitaki maswali Bye.
kwetu niliambiwa hivi,kila siku niwe namuona mume kama mtoto wa miezi miwili ambaye anahitaji ulinzi wa mama na upendo wa mama zaidi na kweli nimeona nikiifuta hii mambo bado yapo kama honeymoon tuu, pia nilisisitiziwa kuwa mtoto nitakaye zaa nimuone kama mgeni kaja kunitembelea hivyo nina haki kuongea nae au kumwambia niko busy arudi baadae, hivyo mimi namba 3 nitairuka salama tuu
1. Mkwara stage
Mwaka wa Kwanza wa ndoa ulivyo mtamu hapa bado wapya ni full kujishaua, kila mahali mko wote, unawahi kurudi home, kabla hujapika unauliza hubby ungependa kula nini leo. Profile picture na Selfie za kumwaga, mnafanya Anniversary za ndoa mwezi kwa mwezi kama kifurushi cha cheka bombastiki.
2. I am happily married stage
Miaka 2-3 ya ndoa, pete za ndoa zinang'aa, full kupiga picha huku unashow kidole kila mtu ajue your taken. Ni mwiko kusahau Birthday ya Mkeo/Mmeo, ukitongozwa unaripoti hapohapo kwa mme/mke. Full huba, mnabadilishana hadi password za simu na facebook, mnajenga trust kwamba hakuna siri kati yenu.
3.I am married stage
Hapa lile neno happily limeanza kufifia, ndoa ina miaka 5. Gusa simu yake uone moto kudadeki, mdada ushajifungua watoto wawili, umejiachia, Saluni huendi unasuka tu tatu kichwa freesh. Jamaa anaanza kuhisi umezeeka/umedorora/huna mvuto. Umejiachia Mtumbo wa chips na uzazi huooo ukidhani mmeo ameshakuzoea so huna muda wa kumu-impress anymore. Eti Kuku wako manati ya nini wakati nje kuna masistaduu wanawaka kama Tanzanite na wanamtaka mmeo na pete yake hivyohivyo.
4.Bora liende stage
Ndoa ishafika miaka 7-10 hivi, Hapa mme anarudi muda anaotaka na hataki aulizwe kitu, yuko bize anasahau birthday yako na ukimwambia anawaka kwamba unafuatilia vitu vidogo. Mnalala pamoja hata mwezi hakugusi wala nini. Sexual attraction kushnehi, hapa ndo unakumbuka namba ya EX wako kichwani na kuanza kurecall alivyokuwa anakukamua vizuri kuliko mmeo anayechechemea dakika 6 halafu anakoroma.
Mnaanza kuwa close na EX na kuchepuka mara 1 moja na hujisikii vibaya coz Home hamna spark anymore na unahisi mme anasababisha ukamuliwe nje. Talaka huombi coz unajiuliza wazazi watanionaje, mashosti niliowalingishia harusi watasemaje unatulia kimya.
Walio nje wanawaona nyie ni mke na mme, lakini nyie wawili mnajua ukweli kwamba mmekuwa kaka na dada wasio tumbo moja!
Me mecopy tu sitaki maswali Bye.
Hongera kwa hili uko mbali
Mwenzetu namwomba Mungu ndoa Yang isije kuwa na stage
wewe upo stage ganii?
Teheeee mkuu naogopa kuianika humu sebuleni for "sekuriti reasons"
kwetu niliambiwa hivi,kila siku niwe namuona mume kama mtoto wa miezi miwili ambaye anahitaji ulinzi wa mama na upendo wa mama zaidi na kweli nimeona nikiifuta hii mambo bado yapo kama honeymoon tuu, pia nilisisitiziwa kuwa mtoto nitakaye zaa nimuone kama mgeni kaja kunitembelea hivyo nina haki kuongea nae au kumwambia niko busy arudi baadae, hivyo mimi namba 3 nitairuka salama tuu
Sina uhakika sana na ulichosema hapa, ------ uzae nije nione kama kweli huyo mtoto utamtreat kama mgeni, labda hujamtoa kwenye tumbo lako dada
Mkuu pole.
1. Mkwara stage
Mwaka wa Kwanza wa ndoa ulivyo mtamu hapa bado wapya ni full kujishaua, kila mahali mko wote, unawahi kurudi home, kabla hujapika unauliza hubby ungependa kula nini leo. Profile picture na Selfie za kumwaga, mnafanya Anniversary za ndoa mwezi kwa mwezi kama kifurushi cha cheka bombastiki.
2. I am happily married stage
Miaka 2-3 ya ndoa, pete za ndoa zinang'aa, full kupiga picha huku unashow kidole kila mtu ajue your taken. Ni mwiko kusahau Birthday ya Mkeo/Mmeo, ukitongozwa unaripoti hapohapo kwa mme/mke. Full huba, mnabadilishana hadi password za simu na facebook, mnajenga trust kwamba hakuna siri kati yenu.
3.I am married stage
Hapa lile neno happily limeanza kufifia, ndoa ina miaka 5. Gusa simu yake uone moto kudadeki, mdada ushajifungua watoto wawili, umejiachia, Saluni huendi unasuka tu tatu kichwa freesh. Jamaa anaanza kuhisi umezeeka/umedorora/huna mvuto. Umejiachia Mtumbo wa chips na uzazi huooo ukidhani mmeo ameshakuzoea so huna muda wa kumu-impress anymore. Eti Kuku wako manati ya nini wakati nje kuna masistaduu wanawaka kama Tanzanite na wanamtaka mmeo na pete yake hivyohivyo.
4.Bora liende stage
Ndoa ishafika miaka 7-10 hivi, Hapa mme anarudi muda anaotaka na hataki aulizwe kitu, yuko bize anasahau birthday yako na ukimwambia anawaka kwamba unafuatilia vitu vidogo. Mnalala pamoja hata mwezi hakugusi wala nini. Sexual attraction kushnehi, hapa ndo unakumbuka namba ya EX wako kichwani na kuanza kurecall alivyokuwa anakukamua vizuri kuliko mmeo anayechechemea dakika 6 halafu anakoroma.
Mnaanza kuwa close na EX na kuchepuka mara 1 moja na hujisikii vibaya coz Home hamna spark anymore na unahisi mme anasababisha ukamuliwe nje. Talaka huombi coz unajiuliza wazazi watanionaje, mashosti niliowalingishia harusi watasemaje unatulia kimya.
Walio nje wanawaona nyie ni mke na mme, lakini nyie wawili mnajua ukweli kwamba mmekuwa kaka na dada wasio tumbo moja!
Me mecopy tu sitaki maswali Bye.
kwetu niliambiwa hivi,kila siku niwe namuona mume kama mtoto wa miezi miwili ambaye anahitaji ulinzi wa mama na upendo wa mama zaidi na kweli nimeona nikiifuta hii mambo bado yapo kama honeymoon tuu, pia nilisisitiziwa kuwa mtoto nitakaye zaa nimuone kama mgeni kaja kunitembelea hivyo nina haki kuongea nae au kumwambia niko busy arudi baadae, hivyo mimi namba 3 nitairuka salama tuu
Hongera sana Kwa kuwa tofautisina habari na watoto mie niko busy na babe
Usishangae mkubwa, na hasa kama waliachana bila kugombana na mwanamke akawa hajaenda na mwingine zaidi ya mume wake. Mahaba ya karibu anayokumbuka ni yale ya mwisho kable ya kuolewaX after 10 years duh!
Lol wengine neno happily married huisha wakati wa mkwara stage! Halafu unaruka stage zote unaingia bora liende stage... hatareee!