zingatia ucje ukaweka chumv nyingi kwenye cchakula cha mtot figo zake hazina uwezo mkubwa wakuiondoa Huyo chumvi mwilin inatakiwa use unaihic kwa mbal xana
Hata mke cwez kumxomexha kuna rafik yangu alimxomexha mke wake lakin mke wake alipofika chuo 2 akamwambia mme wake kua aoe mwanamke mwingne yye amexhapata mwanaume mwingne na ukumbuke kua huyo dada alikua amexhazaa watoto wa 2 na huyo mume wake kabla hajaenda kuxoma xxa kuna haja ya kumxomexha mke?
Urais ni karama mtu kama maguful hafai kua rais yule ni mtu wa masait unampa urais kwel atauweza? Alipandisha bei za vivuko wazee wa kigambon wakamwambia mh sisi uwezo wetu ni mdogo akawajibu kama hauwez kulipa piga mbizi kwel huyo rais atajal wananch? Au anajifanya mwema saiv kwavile anashida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.