Kyela Kimenuka. Lowassa amfutilia mbali Mwakyembe

Kyela Kimenuka. Lowassa amfutilia mbali Mwakyembe

Kyela leo
 

Attachments

  • 1445269142501.jpg
    1445269142501.jpg
    64.1 KB · Views: 1,035
Atarudi zake kuendeleza kale ka mradi tata ka umeme upepo kule singida kipindi kile nadhani pesa ilikata sasa nadhani ule mgao wa mabehewa feki ya india utamsaidia.
 
kinachowachosha wanakyela na watanzania kwa ujumla ni UNAFIKI MPEVU alionao huyu jamaa. I hope today has marked the end of Mwakyembe in politics.
 
Big up LOWASSA wewe ndie RAIS wetu ajae, achana na yule aliegundua mbinu ya kutimka majukwaani bila kuaga wananchi hahahah
VIVA UKAWA!!!!
 
Kosa lake kubwa ni UNAFIKI MPEVU kwa wanakyela na watanzania kwa ujumla
 
Kosa la Mwakyembe ni kufukunyua ufisadi wa Richmond,uliomuondolea ulaji Lowassa.Teh teh teh teheeee ha ha ha haaaa
 
Futa, delete, tokomoza, angamiza mwakyembe, CCM...!!!

Mwakyembe akipata 10% ya kura za Kyela, amshukuru Mungu wake...!!!

Dr. mnafiki kama nini sijui...!!! Leo presha itammaliza...!!!
 
Kisiki walichokishindwa CCM, CHAMA kilichokatta kuwasikiliza hata wanachama wake waliosema hawamtaki Mwakyembe kimemshindwa mtu wake lakini buldozer ilipoingia hakuna kilichobaki. If god is with us, who can be against us? si mwakyembe, si magufuli si kikwete hawa ndio oili chafu tena chafu sana
 
Endeleeni kumchokoza Mwakyembe,aweke wazi madudu ya Richmond
 
Back
Top Bottom