Ni kweli,inawezekana cha msingi nikupeleka maoni kwao wao wenyewe.... Lakini mimi mara nyingi huwa nikipata kijisalio,ambacho badala yakukifyeka kwenye unnecessary matumizi,hua natupia kwa njia ya simu,wanarudisha taarifa mzigo wamepokea,lakini unakuja kusoma baada ya siku moja,kitu ambacho mimi...