Recent content by Mangungu

  1. M

    Nchi za wazungu ngumu: Dani Alves ameachiliwa kutoka gerezani baada ya kubainika alisingiziwa, mwanamke aliyemshitaki yupo huru

    Kwa hiyo utakaa,Ulaya au Marekani miaka mingi bila kula mtoto kaka? Si unaweza kuwa Zwazwa,Tutusa kabisa! Kichupa kinajaa
  2. M

    Watu waliotajwa zaidi kwenye nyimbo za kikongo

    Jose Kongolu FBI au Sadam Misele! ,alishafariki zamani sana! Ni mtoto wa Mzee Mobutu! Alikuwa anaimbwa sana JB Mpiana! Alikufa kwa gitaa la Dali Kimoko
  3. M

    Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

    Sure uko sahihi mkuu! Lakini nimecheka sana kwamba vikao hadi 30 wakae ndiyo watoe maamuzi!
  4. M

    Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

    Inategemea na sehemu! Kuna siku Magu alimwambia aliyewahi kuwa Mkuu wa TAKUKURU, Brigedia Jonh Mbungo,kwamba unajua naweza kung'oa hizo nyota zako! Mkasa ulikua kwamba,Magu alipewa taarifa za ujenzi wa nyumba za TAKUKURU kuwa zipo chini ya kiwango,lakini Mkuu wa TAKUKURU hana taarifa na...
  5. M

    Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini?

    JK na Mkapa walipoumwa,mbona hawakwenda India?? JK alienda zake Marekani na Mkapa akaenda zake Uswiswi India kuna shida
  6. M

    Nikila chakula kidogo tu tumbo huwa linajaa, nini tatizo??

    Check kipimo cha H-pirol! Huyu mdudu ni noma sana
  7. M

    TANZIA Kocha Sven-Goran Eriksson amefariki Dunia

    Huyu kocha alileta mapinduzi makubwa sana kwenye soka la timu ya Taifa ya Uingereza
  8. M

    KERO;PESA kuchelewa kusoma UTT AMIS

    Ni kweli,inawezekana cha msingi nikupeleka maoni kwao wao wenyewe.... Lakini mimi mara nyingi huwa nikipata kijisalio,ambacho badala yakukifyeka kwenye unnecessary matumizi,hua natupia kwa njia ya simu,wanarudisha taarifa mzigo wamepokea,lakini unakuja kusoma baada ya siku moja,kitu ambacho mimi...
  9. M

    KERO;PESA kuchelewa kusoma UTT AMIS

    Wateja ni wengi sana kaka, hua naweka kijisalio kwa njia ya simu, hua inachukua siku moja kusoma kwenye account yangu,wala usiwe na shaka... Pesa zako zipo sehumu salama kabisa
  10. M

    Mzee Kikwete: Manji alinambia wanamuonea, nikamshauri akae kimya kwani yatapita tu

    Rekebisha bandiko lako! Kikwete kaanza kuwa Naibu Waziri mwaka 1988 na siyo 1993
  11. M

    Naona January kama ndiye Rais anayefuata hivi!

    Kwanza hujui hata unachoandika January Makamba,mbio za urais 2015 aliishia 5 bora na wala siyo tatu bora! Tatu bora alikua 1. Dkt John Pombe Joseph Magufuli 2. Dkt Asha Rose Migiro 3. Balozi Amina Ally! Pia Mzee Moses Nauye alikua na cheo cha Brigedia hadi mauti yake na wala siyo Luteni!
  12. M

    Katiba Mpya inatakiwa kwa hali na mali

    Habarini za humu ndani ndugu zangu Mimi kama ni mwana Jamii Forom, tena mwenyeji wa muda mrefu sana humu ndani, naomba nami nichangie mawazo yangu hasa kwenye Tanzania tuitakayo kwa ajiri ya kizazi kilichopo na kijacho. 1. Katiba mpya itaweza kuja na mwarobaini hasa kwa Rais aliyepo...
  13. M

    Ulikiuka miiko gani ukapigwa ban JF au nini kilisababisha ukapigwa ban?

    Ukitaka Ban za haraka humu ndani,diss suala la mashoga nakutoa vitisho kwao! Unakula Ban haraka sana
  14. M

    Marekani yaruhusu Israel ipige Rafah kama itaihakikishia haitapiga Iran

    Hivi na wewe kweli, yale majibu ya Iran kwa Israel mbona ni mambo yakitoto sana??? Nilidhani Iran angejibu kwa mapigo ya maana, Kila siku Israel anaenda Iran au kwenye maeneo ya Iran, Nchi Jirani anauwa maofisa wa Iran nakuondoka.... Iran na yeye auwe hata General mmoja kutoka Israel basi
  15. M

    'Magari ya Makonda' yakwama kukarabatiwa, mwenyewe agoma kutoa ushirikiano

    Gari za Gavoo hazina bima wala hazilipiwi kodi pindi zinapotoka huko zilikoagizwa
Back
Top Bottom