Mh yani wewe mwanaume ni mtu wa ajabu sana, Tena hata haya huna unajitangaza kabisa unatembea na mwanafunzi!! Umesahau umuhimu wa mke wako?? Huelewi maana ya Mke??????? Yaani umetekwa kiasi kwamba mpaka anachukua namba ya simu ya Mke wako, Wewe kaka huna heshima kabisa yaaani wewe sijui...
Kabla hamjaenda popote kaa na Mume wako, Muulize, Wewe unachoogopa nini? Kuuliza unaogopa, wanaume huwa ni wazito sana kusema, Wewe kama unampenda kweli Mume wako, Muulize kama kuna tatizo la Hospital Mwende, Kama ni la Kiroho mwende kwa mchungaji hiyo hali siyo ya kawaida Mama.
Wewe...
Pole sana , hiyo ni hali y akawaida, usitoe mimba ni dhambi, nenda hospitali ya Serikali iliyokaribu na wewe jieleze kwa Dr utasaidiwa tu,
Mimi nilikuwa na tatizo kama hilo miezi mitatu iliyopita, sasa niko fiti , Kunadawa inaitwa NOSIC na nyingine ni Domperidon ( sina hakika na spelling)...
Dah pole sana inaelekea umechanganyikiwa kweli , lakini ndoa inataka uvumilivu, Kaeni mzungumze mmalize tofauti zenu, na wewe mbona umejikataa mwenyewe, yaani umekata tamaaa sana, haitakiwi kukata tamaa,
JF Dr
Nina ujauzito wa miezi mitatu, tatizo ninatapika mara kwa mara, nilienda hospital nikapewa dawa (NOSIC) nilimeza kwa muda wa wiki 1 zilisaidia kidogo ila tatizo linaendelea, pamoja kuwa nameza dawa lakini bado narudisha chenji ile mbaya mpaka hata kwenye daladala.Je nile nini matunda...
Dr. Mzizimkavu
Nina ujauzito wa miezi mitatu, ninatapika mara kwa mara, je kunavitu au matunda ninayoweza kula ili hali hii ipungue??
nilienda hospital nikapewa dawa funali NOSIC zilinisaidia kidogo lakini hali ikawa palepala nakunywa na naendelea kutapika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.