Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,629
- 1,950
Hayo makabisa mnaita ya kiroho mnaenda kufanya nini humo? Ni utapeli mtupu. Hakuna ajue habari ya roho kama yeye ni mpuuzi anyetaka fedha toka kwa wapuuzi wengine ambao hata hawawezi kuelewa hata neno moja la Yesu aliyesema Mungu yuko ndani mwenu.
Acha wajinga waliwe kwa maneno ya kishenzi shenzi wakiaminishwa kana kwamba kuna Mungu kakaa mahali kuangalia upuuzi wao.
Acha wajinga waliwe kwa maneno ya kishenzi shenzi wakiaminishwa kana kwamba kuna Mungu kakaa mahali kuangalia upuuzi wao.