Asante sana kwa ushauri mkuu.Endelea kuwajuza watu mambo mazuri kama haya maana kwa wajanja kila siku hujifunza jambo na kwa wajinga kila siku hujifanya wanajua mambo.
Ukishuka stand usiende mbali.nyanyua macho juu juu utaona majengo ya hoteli kama natron.aquilin.rich na joshmal.zote hizi hazizidi elf 50.000.na hauhitaji tax ya kwenda hapo na full usalama.karibu arusha mkubwa
Yan broo hizo unazoambiwa st constatine ni international schools.wanatumia cambrige carriculum.ada yake sio chini ya dolla 6000 kwa term.na wanakuaga na term tatu per year
Arusha modern wana shule mbili.ya primary iliyopi sakina na secondary iliyopo kisongo.ila zote zina maadilli ya dini ya kiislam.haswa wahindi ndo wengi pale.hata wamiliki ni wahindi ndugu.kitaaluma ipo vizuri maana hakunaga failiers
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.