Recent content by Mangi Meno

  1. Mangi Meno

    Nimepiga pekupeku sana Kanda ya Ziwa

    CCM mwenzio huyo. 😂😂
  2. Mangi Meno

    Ni nani yuko nyuma ya huu ujinga!?

    Sasa Yericko Nyerere na mwanya wake ule na yale macho yake ya kubembeleza ni mtu wa kumfuatilia kweli? Ushawahi Muona mwanaume lijalo chini ya jua ana Mwanya na Macho kala ya Yericko? Ile ni soda iliyokwisha funguliwa bosi. Haina gasi ni kumpuuzia tu.
  3. Mangi Meno

    Lucy Mkatoliki feki hajapigwa ni Muongo Angalia picha hii vizuri

    Hatakiwi kupewa airtime kihivyo. Puuzieni habari za hayo matakataka.
  4. Mangi Meno

    Askofu Ruwai'chi: Tusiwe Wakatoliki wa Vijora na kuhongwa

    Anavaa gauni kwani amekuwa Muhammad aliyekuwa anavaa magauni ya Lishangazi lake Bi. Khadija? 😂😂😂 Muddy Mtume Shoga na Nabii pekee duniani asiyetoa unabii wowte ule. 😂😂
  5. Mangi Meno

    Wale tuliowahi kucheza chandimu tukutane hapa tujuane

    Kama unajua kupiga dochi, we ni either mtu wa Moro au Dar na pia ulicheza sodo. Hayo ndio yalikuwa maneno yetu. 😂😂
  6. Mangi Meno

    Wale tuliowahi kucheza chandimu tukutane hapa tujuane

    Hahahaha kupiga mizizi au kupiga jiwe wakati wa kucheza mpira ilikuwa kitu cha kawaida sana. Watoto wangu wananicheka kwa jinsi madole yangu ya miguu yalivyoharibika na kupinda tokana na chandimu.
  7. Mangi Meno

    Kushamiri kwa matendo ya ushoga ndiyo sababu kubwa ya wazazi kuzidisha maswali ya kuoa kwa vijana wao wa kiume

    Kwanini mnaweka kuvunjwa kwanza badala ya kutokuvunjwa? Hiyo ni changamoto yenu wenyewe na haihusiani na ndoa za kikristo. Ilitakiwa muweke kutokuvunjika ndio kipaumbele chenu na sio kuvunjika bosi.
  8. Mangi Meno

    Kushamiri kwa matendo ya ushoga ndiyo sababu kubwa ya wazazi kuzidisha maswali ya kuoa kwa vijana wao wa kiume

    Zinafanyaje bosi? Mbona wenzio tumeoa na tunaishi kwenye ndoa za kikristo mwaka wa 25 sasa.
  9. Mangi Meno

    Uzi Maalum kwa ajili ya kupeana Salamu na Heri za Christmas na Mwaka Mpya 2026

    Kwako my best friend min -me popote ulipo. Marry Christians and happy new year ina advance.
  10. Mangi Meno

    Tetesi: Salum Mwalimu na John Mrema kuteuliwa Wakuu wa Mikoa, Yericko Nyerere kuwa DC

    Binafsi nimefurahi kukuona hewani mkuu. Nilikiwa na wasiwasi nawe baada ya tukio la 29/10. Ni jambo la kumshukuru Mungu kama u mzima bro.
  11. Mangi Meno

    PostGE2025 Nikizifuatilia hizi tarehe 29/10/2025 na 9/12/2025 katika numerolojia naiona nguvu ya aina moja

    Usiufungue sister. Inatisha na tumuombe Mungu atuepushie hilo.
Back
Top Bottom