Heri ya mwaka mpya uliebahatika kusoma hapa,wanajamvi mimi ni mwanaume kila mwanamke nnaejaribu kumtongoza hua nampata kweli haruki kamba si kama najisifu ndo maisha nnayoyaona kwangu nikijaribu kufanya ivyo,mi bado sjajua nikwamba nawanyookea wale wakwangu ama the way i'm,i dont know,though...
Dah mkuu umenchekesha kinoma yan mnatongozana kitoto mbaya eti mara kakubali,mara ntakufkiria kesho,mara jana nlipitiwa wala skupend,mara nimekubali dah chamsingi uyo dem hana msmamo na ukiweka swag za kikubwa hana lolote uyo ila punguza ngonjera mkuu kwa dem
Abari zenu,mpenz wangu bana kasafiri ameenda mikoa ya kanda ya ziwa kama mjuavyo ni msimu wa christmas na mwakampya,kiukweli simuamini %,maana sijazaliwa nae sasa akirudi nataka nipime ile naniliu yake kama imegegedwa maana mpaka sasa mwez mmoja umeisha alafu nnaham nae sana kiukweli lazima bed...
unajua mkuu majini mahaba wakimwingia m2 mtu huyo huonesha dalili mbalimbali na nyingi sana siwez kuzisema dalili hizo kwasasa maana nlikua napita nikaona nitie kaneno kidogo apa hivyo kwamaelezo yako bas usichanganyikiwe namambo mengi bali una jini mahaba,kwaiyo muombe Mungu wa ibrahm,isaka na...
Tare22 kabla ya christmass nimeng'oa lakwangu ambalo nigego liliniuma sana mkuu atakuangalia cm kama wewe jf nafkiri sikuona kama kuna anaeweza kunishauri tofauti na kuling'oa,kwaiyo minaona bado alijakuuma vizuri kiasi cha kutoka usaha maskioni,sina mengi nakushaur muone daktari kwaushauri mzuri
Inaelekea kati ya uyo mwanaume ama uyo mwanamke mlisisimka mkaacha mambo yajiendeshe yenyewe kwa hali hiyo nyie bado amjajua kuji (handle)sjui kwakiswahil manake neno hilo
wakuu swala hili nilaki Mungu,kwasababu biblia inasema damu ndio ifanyayo upatanisho hivyo basi pale nidam imemwagika na atakaepatana nae ni yule aliye mbikiri nafkir umenielewa msanii.
kutokana nahali yasasa ya wanawake wapenda pesa ndugu yangu ukitaka kupata mke bora popote Tanzania usiweke vigezo kama ivyo ata kama unavyo mfano,degree,bachela,sjui nalipwa mil.2 kwa mwazi ni ukuda uo kuwa mjanja mkuu jifanye maskini wakati uo ili badae mfurah pa1 mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.