akirudi ntagunduaje

akirudi ntagunduaje

tumia micrometer screw gauge au veneer caliper pima diameter
 
***Hivi hakuna kitu cha kufikiria zaidi ya hilo tundu***?
 
mh.....kwa watoto wa mjini wewe tulia tu upewe papuchi...
 
Abari zenu,mpenz wangu bana kasafiri ameenda mikoa ya kanda ya ziwa kama mjuavyo ni msimu wa christmas na mwakampya,kiukweli simuamini %,maana sijazaliwa nae sasa akirudi nataka nipime ile naniliu yake kama imegegedwa maana mpaka sasa mwez mmoja umeisha alafu nnaham nae sana kiukweli lazima bed langu sku iyo akirudi itakua vumbi tuuu mpaka kukuche sasa ntajuaje kama wakuda wameshapakua uko alikokuepo,kiukweli na yeye tunavyowasiliana anasema amemis sana mnaniliu wa mpenz wake nae anaham yakurudi ili nimshughulikie,sasa ntajuaje mali yangu imeguswa na wakuda jamani,maana kuna baadhi ya waschana huwa waongo maana wangu simuamini hivyo msaada wa vipimo tafadhali matusi spendi ila kama wekichwa ngumu unaweza kutukana tu sio mbaya kwa muelewa naomba ushauri pls.

aisee,siku nyingine kabla hajaondoka uwe unapima na tape measure halafu unarekodi kwenye diary yako.akiridi unapima tena na kulinganisha vipimo.ukikuta ukubwa umeongezeka tu basi ujue kaliwa
 
Aiseee Mushi bado upo!!!

Mbona ameomba samahani kabla..

Au ndiyo wewe mshukiwa hahaha 🙂


ha ha ha ha! hajui hiyo kitu inapigwa asubuhi na yeye anapiga mchana bila hata kujua km iliguswa.............
 
Hapo kazi...coz akija atakuwa ameshaoga na yuko safi. Kwa kisayasi zaidi chunguza wingi wa mbegu akimwaga kwani huwa zinakuwa kidogo zikiwa zinatokatoka. Kama ukiona nyingi jua akuzitumia.

Sent from my SM-N900 using Tapatalk
kama ni............
image.jpg
 
du shida yote ya nini? cha msingi arudi salama hasipate ajali. hizo papuchi zipo tu, kupigiwa kawaida tu, na mtu mwenyewe humuamini sasa kwanini unaumiza kichwa?
 
Mbona huulizi utajuaje kama chuchu zimenyonywa na mdomo umepigwa kiss?
 
huwezi jua kama aliingiliwa wewe vumilia tu ila cha muhimu kama humuamini basi bora uachane nae kuliko kuishi kwa mashaka
 
Abari zenu,mpenz wangu bana kasafiri ameenda mikoa ya kanda ya ziwa kama mjuavyo ni msimu wa christmas na mwakampya,kiukweli simuamini %,maana sijazaliwa nae sasa akirudi nataka nipime ile naniliu yake kama imegegedwa maana mpaka sasa mwez mmoja umeisha alafu nnaham nae sana kiukweli lazima bed langu sku iyo akirudi itakua vumbi tuuu mpaka kukuche sasa ntajuaje kama wakuda wameshapakua uko alikokuepo,kiukweli na yeye tunavyowasiliana anasema amemis sana mnaniliu wa mpenz wake nae anaham yakurudi ili nimshughulikie,sasa ntajuaje mali yangu imeguswa na wakuda jamani,maana kuna baadhi ya waschana huwa waongo maana wangu simuamini hivyo msaada wa vipimo tafadhali matusi spendi ila kama wekichwa ngumu unaweza kutukana tu sio mbaya kwa muelewa naomba ushauri pls.
We Mangi ulikosea kuoa mhaya. Huyo lazima wahaya wenzake wamempiga katerero. Hii tekinoloji nyie wachaga hamuijui.
 
GEORGEALLEN umetisha mkuu yani kupigiwa katerero tena?mbona kwa mtaji huu uyu mwanamke atanletea mshtuko wa moyo na vijambo vingi?
 
Back
Top Bottom