Abari zenu,mpenz wangu bana kasafiri ameenda mikoa ya kanda ya ziwa kama mjuavyo ni msimu wa christmas na mwakampya,kiukweli simuamini %,maana sijazaliwa nae sasa akirudi nataka nipime ile naniliu yake kama imegegedwa maana mpaka sasa mwez mmoja umeisha alafu nnaham nae sana kiukweli lazima bed langu sku iyo akirudi itakua vumbi tuuu mpaka kukuche sasa ntajuaje kama wakuda wameshapakua uko alikokuepo,kiukweli na yeye tunavyowasiliana anasema amemis sana mnaniliu wa mpenz wake nae anaham yakurudi ili nimshughulikie,sasa ntajuaje mali yangu imeguswa na wakuda jamani,maana kuna baadhi ya waschana huwa waongo maana wangu simuamini hivyo msaada wa vipimo tafadhali matusi spendi ila kama wekichwa ngumu unaweza kutukana tu sio mbaya kwa muelewa naomba ushauri pls.