I Need ur Help Please

I Need ur Help Please

Bwn mdogo, hiyo sentensi juu imenichanganya sana. Kwamba huyo binti ulimtokea miaka sita iliyopita na mwaka juzi ndo amemaliza form four. Maana yake kwa lugha rahisi, ulimtokea akiwa form one au form two, kweli mlikuwa watoto sana na bado ni watoto hata leo!

Majibu anayokupa huyo binti, yanaonyesha dalili za nataka sitaki, kwa watu wazima tumeshamuelewa! Ila kwa kutambua kuwa alimaliza form four mwaka juzi (na mwaka huu ndo kwanza Jan), nakushauri, muendelee kufocus kwenye masomo yenu ya elimu ya juu kuliko mliyonayo sasa maana mnaweza kujikuta mnapotezeana muda na kupoteza fursa za kujiendeleza kielimu ambazo ndo msingi wa maisha yenu yajayo.
Yani mwaka jana ndo kamaliza form four...so wakati anatongozwa mara ya kwanza alikuwa darasa la sita ama la saba.
Hivi kwenye hii dhambi si hata sisi tutakaotoa ushauri tutahusika.

Bwana mdogo we kazana na BRN then uje hapa ulete mada ukimaliza chuo at least. Usijetusababishia dhambi wakubwa zako tukaonekana tunaharibu hii generation kumbe ilishaharibika
 
Uandishi wako utata mtupu, maelezo pia utata, sasa we dogo unasoma chuo gani vile
 
mwenyewe unaonekana unataka ushauri unaoendana na mawazo yako, sasa huo c ushauri km kwel unahitaji ushauri, km hutak kushauriwa we fwata mawazo yako then utakuja omba tena ushauri baada ya kutendwa.
 
Ndugu zangu ninahitaji ushauri kabla sijafanya maamuzi yoyote,Kuna msichana nilitokea kumpenda sana,nilishawahi mtongoza ambyo hiyo ilikuwa mara ya kwanza ila alinitagaa kwakusema "sitaki mazoea na ww na ukiendelea kunifatafata nitamwambia Mama" kweli nish2ka sana kusikia mambo ya mama but nikaja kujua kwamba pia utoto ulikuwa unamsumbua hii ni ishu iliyo tokea Miaka 6 iliyopita,nikajipa Moyo kwamba bado ajakuwa na mm nilikuwa mdogo.sasa juzi mwaka jana ndo amemaliza 4m4,mwaka jana tarehe 29 ndo nilieza kuongea naye coz nilikuwa namwogopa sana hata salam nilikuwa siwezi kuitoa,sasa toka nimepata namba zake tarehe iyo tumeanza kuchat na hata kukutana,tarehe 1 nilijikaza nakuweza kumwambia Hisia zangu kwake chakushangaza Ameniambia ana mtu na anampenda sana nimemlilia na kumbembeleza hadi basi but yy anachosema nikwamba ananipenda ila anampenda zaidi hyo aliyekuwa naye sasa saa nyingine ananiambia ajui Tabia yangu saanyingine ananiambia siweze kukubalia kwa haraka saanyngine ndo hvy anasema anamtuu sasa nimeshindwa kumwelewa na juzi aliniambia sipende kukuona huna raha kwahiyo anaweza nikubalia ila hata nipenda anikubalie tuu, na chakushangaza zaidi kuna sku juzijuzi tuu alinikubalia kbsa ilikuwa usku nikamuuliza mara10 10 akasema amenikubalia na ananipenda ila ila skuamini ilipofika asbh ananiambia samahani sana jana nilikuwa sjielewe naomba nisamehe naomba tuendelee kuwa marafiki eti roho ilimuuma sana kwani amemsaliti jamaa aliye naye sasa,so wakuu nilikuwa naomba ushauri hyu msichana nifanye nn ili nimpate au ni give up japokuwa ningumu,au nifanye nn plz. I Need UR Help... Please

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
shule zimeishafunguliwa muende shule eboo...
 
Wavulana bana...hebu kua kua kidogo walau uanze kuvaa suruali
 
Dah mkuu umenchekesha kinoma yan mnatongozana kitoto mbaya eti mara kakubali,mara ntakufkiria kesho,mara jana nlipitiwa wala skupend,mara nimekubali dah chamsingi uyo dem hana msmamo na ukiweka swag za kikubwa hana lolote uyo ila punguza ngonjera mkuu kwa dem
 
Wavulana bana...hebu kua kua kidogo walau uanze kuvaa suruali




19177621-young-couple-holding-hands--kids-in-love.jpg

stock-vector-sketch-of-cute-little-kids-couple-on-texture-white-background-love-concept-159725504.jpg
 
mfuate bhana. unampenda kwa sms..wapinzani wako wana mfuata wanaonesha physical expressions


nothing is a substitute of face to face talk.....even skype
 
nigekuwa na uwezo... ningebadilisha shule zote kuanzia primary mpaka sekondari kuwa za kijeshi tu!!
 
Hivi unajua hata mapenzi ni nini?unajua kama kuna ukimwi?unayapenda maisha yako?huyo msichana hajielewi na wewe ndo umeshakuwa zoba!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom