Kwi kwiiiiiiiiiiiii.
Haya maukawa yana tabuu sana. Mbona slaaa na mbowe wanapochangisha M4C kwa walalahoi ili watanulie na mademu zao hamsemi? Ongera serikali kwangu mie chukueni 100000 kwa ujenzi wa maabara wafaidike vizazi vyetu.
We mleta mada utakuwa UKAWA. Maana hawaUKAWA wana maprofesor na madoctor wasioweza kucalculate 2/3 ya wajumbe wa BMK kutoka Zanzibar hadi wanaaibishwa mwisho wa mchakato.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.