Recent content by Mangala boi

  1. M

    Wazee wa mikeka, uliwahi kushinda kiasi gani kikubwa cha pesa?

    Kampun gani uliweka 756M uongo huo
  2. M

    Kwa hotuba hii! Je, ndiyo tuseme mwisho wake umekaribia?

    Uwezi kutegemea kifo cha mtu ndicho kikupe mabadiliko huo ni uzuzu Kama ungekuwa ivo Africa tungekuwa bado tunatawaliwa na wazungu amka ulipo lala
  3. M

    Mpaka sasa CCM hawana Plan ya kueleweka kuendelea kushika Dola kwa ridhaa. Wana Missing systems za kutosha

    Mkuu uko sahihi maana uwezi kusema unaongoza kwa ridhaa ya wananchi af muda huo huo unatumia vyombo vya ulinzi kuwathibiti hao hao wananchi wako
  4. M

    Mke wangu anatelekeza chumba chake na kwenda chumba cha mtoto

    Huyo mwambie aende kwanza nyumbani kwao apata akili
  5. M

    Ukiwa mzuri, ukisema upo single watu hawaamini kabisa

    Tupe location maana unakuaje mzuri afu unaliwa tu na mbu
  6. M

    Million 5 za goli la mama zimezika mpira wa Tanzania

    Kwakweli ufatiliaji wa mpira umepungua saana
Back
Top Bottom